Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mlisema hivyo hivyo kipindi cha mwendazake..punguzeni mahaba au nyie sio watanzania hamna ndugu mijini na vijijini.

#MaendeleoHayanaChama
Ukiniletea post Moja tu niliyomsifia Mwendazake akiwa Rais, nitaomba Mods wa JF wanipe ban ya milele!!

Twende kazi jiwe angavu
 
Achana kabisa na Rais Dk.Hussein Mwinyi. Ni mtu wa kazi hasa. Unafuatilia pemba anavyoifungua kiuchumi? Bandari mpigaduri? Nidhamu ya utumishi wa umma, vita ya rushwa na uzembe? Anajenga culture mpya ya utendaji kazi na uwajibikaji Zanzibar. Hii ni injini, wasipo wajibika ole wao...watakumbwa na Fagio la Chuma.
we kima kweli.. hebu rusha picha hapa ya hiyo bandari ya mpiga duri... Mwinyi sasa hivi anachoweza ni kuhutubia misikitini tu ndio maana anaitwa Shehe Nyundo
 
Mambo ya ndani ya nchi zawatu hayo ... Tujadili yakwetu naana unaowaongelea aamekupa rais mwanamke je? unajua anapokupeleka?
 
Kilichomkimbiza Zenji nini?? Akaja kukomaa bara?? Kama huko kuna wachapa kazi??
Nilishakaa Zbar kwa project fulani, ofisi ya serikali unafika saa3, muhusika hajafika, akifika saa 4 anaenda kunywa chai, saa 5 karudi gumzo porojo, saa 6-7 Masjid, saa 8 lunch, what the EFF, kitu ambacho bara ungehudumiwa siku 1-2, kule wiki.

Investor kajipangia kukaa wiki anajikuta kakaa wiki3, muda unapotea na pesa na mtu anakata tamaa.

Wabara huwa tunawaona wabara wavivu, ili tukija Zenj tunaona wabara ni watu wachapa kazi kama wajapan.

Na uhakika Mh Hussein Mwinyi, ndiiyo anachokabiliana nacho first hand, WAVIVU WAMEENDEKEZA UMWINYI. Hawana kitu zaidi midomo na roho za kwanini.

Everyday is Saturday................................:cool:
umenena kweli tena kweli tupu
 
Rais Mwinyu yupo vizuri amejitahidi kufuta baadhi ya kodi kero Zanzibar ambazo Tanzania bara bado zipo hii habari ni ya mfanyabiashara hataki wengine wapite huko...Zanzibar leseni za biashara za maduka zipo elfu hamsini na sitini..hapo mwanzo zilikua kama bara tu.
Nipe ushahidi wa huduma za jamii alizoboresha wakati kashindwa hata kuboresha hospitali
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Daah wonders shall never end!
Mafisadi mna shida kwelikweli
 
Daah wonders shall never end!
Mafisadi mna shida kwelikweli
Ukitaka kuujua ufisadi wa Mwinyi muulize Mwamunyange.. alikwenda kudai 10% ya ununuzi wa vifaa vya kijeshi kwa Waarabu kilichomkuta anakijua mwenyewe
 
Back
Top Bottom