Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Siku 100 za Dr.Mwinyiwewe una fikra za kijinga kweli..hi ikijengwa nahama nchi hivi unazuzuka ni hivi vipicha vya njozi.. Salmin Amour alisema anajenga Star cCity mpaka leo haikutokea.. Huwajui wanasiasa waliomzunguuka Mwinyi ni matapeli wakubwa
Maafisa kadhaa wa SMZ wasimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa Mali za umma.....
Wewe ni mmojawapo?!!!! 😳🤣🤣