Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

wewe una fikra za kijinga kweli..hi ikijengwa nahama nchi hivi unazuzuka ni hivi vipicha vya njozi.. Salmin Amour alisema anajenga Star cCity mpaka leo haikutokea.. Huwajui wanasiasa waliomzunguuka Mwinyi ni matapeli wakubwa
Siku 100 za Dr.Mwinyi

Maafisa kadhaa wa SMZ wasimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa Mali za umma.....

Wewe ni mmojawapo?!!!! 😳🤣🤣
 
Si chama kimerudi kwenye mikono salama?

Na bado mpaka mjifungue mimba hizo alizowaachia mwenda zake mtakuwa wekundu
Swali lilikuwa wazi tu... kwamba lile zee la kisukuma la Chato, limetuachia matatizo? Ulipaswa ujibu ndio au hapana, sio kulilia kama kondoo mjamzito
 
Mtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
Awe malaika, mikono yake imerowa damu , Na roho Za wanyonge.

Hakuna wa kumlipa ila Allah atapitisha hukumu yake Kama wenzake . Karma itawatesa ni muda tu
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Sultan Husein Mwinyi hata kuishi Unguja hapendi. Anatamani arudi Sea view aishi hapo na kuitawala Zanzibar kutokea hapo Dar.
 
Kaondosha usultan wa makomred wa ccm Zanzibar na watoto wao.
Angalau karudisha heshima kati ya muajiri na muajiriwa.
Kaondosha khofu ya kuishi ktk jamii angalau wana lala bila ya wasiwasi majumbani mwao.
 
Kaondosha usultan wa makomred wa ccm Zanzibar na watoto wao.
Angalau karudisha heshima kati ya muajiri na muajiriwa.
Kaondosha khofu ya kuishi ktk jamii angalau wana lala bila ya wasiwasi majumbani mwao.
Na amejitahidi sana kuweka ndugu na jamaa zake katika nafasi zote nyeti ili kulinda maslahi yake binafsi
 
Nilisikia Zanzibar yote imezungushiwa mabati kutokana na miradi ya kimaendeleo
 
Mnachekesha sana...nilifika Zenji baada tu ya uchaguzi na nikasikiza anavyozungumzwa,nimerudi miezi miwili nyuma nimesikia tena anavyotamkwa jipangeni upya machogo!
Hivi ma-vichwa ya wazanzibari hua yanabonyezwa ili iweje? Maana hua naona wazanzibari wana mavichwa ya hovyo hovyo tu style ya ubapa
 
Back
Top Bottom