GE2025 Mpaka sasa sijaona picha za misururu ya wapiga kura waliosabibisha ushindi mnono wa 98%

GE2025 Mpaka sasa sijaona picha za misururu ya wapiga kura waliosabibisha ushindi mnono wa 98%

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
󱡓󱥊󱥆󱎎91...(1).webp
 
Zile media uchwara za kina Millard au yoyote mwenye hizo picha naomba atupie hapa na sisi tuone hiyo misururu ya wapiga kura waliotupatia ushindi wa 98%.

Haki huinua taifa
Halafu unaambiwa watu milioni 32 walipiga kura kati ya milioni 37 waliokuwa wamejiandikisha. Aidha, Tume ilihitaji siku mbili tu kuzihesabu kura zote hizo, pamoja na kuwa hakukuwa na mtandao kufanikisha mawasiliano. Zaidi ya hayo, pamoja na ghasia zote za maandamano, Tume walifaulu kuendelea na kazi yao mpaka wakafanikisha kwa muda mfupi huo. Kwenye akili ya kuambiwa, changanya na zako.
 
Wanachama mil 13 wa CCM wamegeuka kuwa wapiga kura 31m
 
So far so good
Still living today
But we don't know what tomorrow brings
In this crazy world
People dying like flies every day
You read about it in the news
But you don't believe it
You'll only know about it
When the man in the long black coat
Knocks on your door
Cause you're his next victim...
 
Zile media uchwara za kina Millard au yoyote mwenye hizo picha naomba atupie hapa na sisi tuone hiyo misururu ya wapiga kura waliotupatia ushindi wa 98%.

Haki huinua taifa
Majini
Mashetani
Vizuka
Vinyamkera
Misukule
Mazimwi
 
Media zote. ITV, UTV, na TBC walishiriki huu mpango wa kutuhujumu watanzania. Sehemu niliyoona msururu ni mtwara, kituo alichopiga mkuu wa mkoa na mkuu wa wilay ya mtwara. Kulikuwa na msururu wa watu 7.
Kituo alichopiga Spika Tulia alikuwepo mtu mmoja tena alikuwa anaangalia kama jina lake lipo.
***** hawa mbwa wametupiga sana.
 
Back
Top Bottom