Upanga Mkali
Member
- Dec 24, 2014
- 96
- 81
Nimesikiliza hotuba za watangaza nia wa CCM, mpaka sasa sijaona hotuba yenye maono na inayoonekana kutekelezeka kama ya Prof Muhongo ambaye alionyesha tatizo, ukubwa wake na kutoa njia za kutatua, January alitoa mlolongo wa ahadi lakini yote aliyosema yanatatuliwa kwa kukuza uchumi kama alivyosema Prof. Muhongo.
Go Prof..
Go Prof..