magafumukama
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 743
- 198
Je ni kweli huo uteuzi utaleta mabadiliko yanayotakiwa? Siyo political willpower? Mfumo kama tubaki ileile tutakuwa tunapoteza pesa za wananchi Burke badala ya kupelekwa kwa wananchi
Katiba ilipingwa kwa nguvu zote kwa nia ovu ya Chama Cha kijani. Hii ilieleweka.Naomba mkumbuke kuwa sio kosa lake katiba inampa mamlaka hayo.
Suala pekee la kutuokoa katika kadhia hiyo ni katiba mpya.
Si maanishi katiba ya Andrew Chenge, na maanisha rasmu ya pili ya jaji Sinde Warioba.
Hii ndiyo itaboresha utendaji na kupunguza utitili wa hizo teuzi kutoka kwa rais wetu Mwema.
Tukifanya hivo tutakuwa tumepunguza mamlaka ya rais.
Kwa maana hiyo sasa hivi hatutakiwi kukosoa?sasa twambie tumpe muda ganihilo ni jambo la kawaida kwa kila uongozi mpya. tuwape muda wateule ;
Hyo ndyo mbaya zaidi. Kumchallenge Presidaa imekuwa sawa na Kosa la jinai....Mbaya zaidi huwezi kumchallenge rais wako.
Sahau kwa mwakyembe!!!Nasubiri kwa hamu akianzisha mchakato wa kurudisha katiba ya Warioba, kwa katiba hii acha ateue tu wakatafune kodi zetu maana hakuna namna nyingine
this is a new administration and it has nearly a year since it has started to take charge you have to first note that, reasonable time should be considered before we start complaining and criticisingKwa maana hiyo sasa hivi hatutakiwi kukosoa?sasa twambie tumpe muda gani
Sio Tanzania tu ndio katiba zetu WaafrikaTZ rais ana nguvu kubwa kikatiba