Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,834
- 38,716
- Thread starter
- #41
Nipe idadi kamili ya makombe yote iliyochukuaAfu haina kombe la.ligi.miaka 4 na CAF kule imepigwa nje ndani hembu kashabikie gormahia za huko.kisumu kwenu
Nipe idadi kamili ya makombe yote iliyochukuaAfu haina kombe la.ligi.miaka 4 na CAF kule imepigwa nje ndani hembu kashabikie gormahia za huko.kisumu kwenu
Mtaishi kwa historia mpaka lini..?Nipe idadi kamili ya makombe yote iliyochukua
Wewe hiyo ya miaka minne uliyopita sio historia?Mtaishi kwa historia mpaka lini..?
MulibwanjiKama tulivyozoea msimu uliopita,ilikuwa Simba wakicheza siku basi utafunguliwa Uzi wa update kuelekea match hiyo asubuhi na mapema. Cha kushangaza mpaka sasa saa saba mchana hakuna Uzi wala dalili ya Uzi.
Sawa ni.historia ila mpaka sasa bingwa mtetezi ni nani..?Wewe hiyo ya miaka minne uliyopita sio historia?
Kwa hiyo unachagua historia inayokufurahisha wewe sio?Sawa ni.historia ila mpaka sasa bingwa mtetezi ni nani..?
Katika historia ipo.ile ambayo haina muendelezo.kwa wakati.uliopo hiyo haitumiki saana kwa wakati uliopo.Kwa hiyo unachagua historia inayokufurahisha wewe sio?
Kwa hiyo Yanga hatachukua tena Ubingwa?Katika historia ipo.ile ambayo haina muendelezo.kwa wakati.uliopo hiyo haitumiki saana kwa wakati uliopo.
Hatujui kinachofuata mbeleni.ila tupo wakati huu tuseme ya muda huu. Nani kakalia kitiKwa hiyo Yanga hatachukua tena Ubingwa?
Tuli bwanji sanaaaLeo tumeanza kubaguana kwa ajili ya Mpira? Makolo muli bwanji Mamaa
Kama tulivyozoea msimu uliopita,ilikuwa Simba wakicheza siku basi utafunguliwa Uzi wa update kuelekea match hiyo asubuhi na mapema. Cha kushangaza mpaka sasa saa saba mchana hakuna Uzi wala dalili ya Uzi.
Mnawashwa ???
Dodoma mji ni katimu kadogo sn,hatuwezi kuacha mambo yetu kukimbilia kufungua uzi saa 3 asubuhi ..tusubiri saa 10
Utopolo subirini mechi za ligi ya mabingwa wanaume tutakapoanza kukiwasha tutafungua threads mapema sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
NAWASALIMU KAKA ZANGU.Muda bado tulieni, msijifariji mkasahau matatizo yenu
Furaha yenu haidumu
Ile timu iliyocheza na makolo fc tarehe 25Afu na utopolo inacheza pira hewa hivi.ile timu iliyokua inacheza na kagera ndio.mnayo ipigia kelele kuwa ni nzuri inatisha
Kuna ligi gani timu zao zina ukata sanaHivi Kenya hakuna timu?
Ina ubingwa hiyo timu kwa hii miaka 4 na vipi kule CAF muliishia wapi..?Ile timu iliyocheza na makolo fc tarehe 25
Huko Champions League mlichukua kombe gani?Ina ubingwa hiyo timu kwa hii miaka 4 na vipi kule CAF muliishia wapi..?
Sawa hatujachukua ila tupo kwenye watafutaji wa ukweli na muda ukiwadia tutabeba ww uto vipi Africa inakujua au ndio ile ooohh karia karia tff badonya ligi kulia lia fcHuko Champions League mlichukua kombe gani?