Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,363
- 17,914
Mimi siishi milele wala Mimi si lolote, ila yeye alipania mabaya sana kwa nchi yetu. Wewe unaibaje uchaguzi wote wa 2020 na kuweka wabunge vibaraka wako??. Ndiyo maana Mungu kamchomoa mapema asituharibie zaidiKwahiyo Mungu ndiye alimuua? Na wewe utaishi milele si ndiyo?