Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Imefika kipindi graduates tuwe wabunifu kwa sababu hadi sasa hakuna fani ya kuajiliwa moja kwa moja Vijana wengi walikua wamekimbilia Ualimu lakini nako kumeshajaa
Madaktari walikua wanaajiriwa moja kwa moja lakini Ummy Mwalimu nilimsikia akisema wanaomaliza ni zaidi ya 1,000 na uwezo wa Serikali kuajili ni madaktari 400 tuu kwa mwaka hapo kuna madaktari zaidi ya 600 watakua hawana ajira.
Madaktari walikua wanaajiriwa moja kwa moja lakini Ummy Mwalimu nilimsikia akisema wanaomaliza ni zaidi ya 1,000 na uwezo wa Serikali kuajili ni madaktari 400 tuu kwa mwaka hapo kuna madaktari zaidi ya 600 watakua hawana ajira.