View attachment 127687
Wananjaa kweli wakati huu wa sikukuu!
Mjumbe hauwawi!!!!
Pole Mkuu, Janga la kitaifa hili.
WAKO WENGIHawa ni karaha kwa kweli!
hahahaaaaaa na wewe ulikuwa na guta mkuu(jokes)hawa washenzi jana wamenikamata wakala buku kumi yangu.
mwisho wa mwaka huu January Kodi za Nyumba na ada za watoto unadhani mchezo
Hii kero sijui itaisha vipi halfu ving'ang'anizi kinoma wakiona huna kosa wanachukua hadi buku...
Hii kero sijui itaisha vipi halfu ving'ang'anizi kinoma wakiona huna kosa wanachukua hadi buku...