leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,295
- 1,687
Nisiwachoshe sana kama kichwa kinavyo Sema humu yashazungumzwa mengi kuhusu Israel na palestina hizi ni nchi mbili tofauti kila mmoja anajivunia yeye ndo mzawa na mengine mengi Sasa mimi shida yangu nataka kuona mpaka wa hizi nchi kwa raman {PICHA} ingawa uandishi wangu Hauna mpangilio ila natumaini nimeeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app