Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,357
- 11,503
Speed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.