Mozilla Firefox haifanyi kazi

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,272
73,819
Wataalamu nisaidieni. Mozilla browser haifanyi kazi. Nadhani ime-crush. Nimejaribu ku install upya inaleta pop message kuwa Your Mozilla Fire Fox profile is unavailable or not accessible...
Ukiwasha profile haiji, muonekano wa screen hauko kama ilivyokuwa zamani.
 
Chief-Mkwawa simu ina tatizo nikiweka simcard ya halotel inasoma vizuri lakini nikiweka za voda zinakataa kusoma kabisa nimejaribu simcard zaidi ya moja za voda hazisomi ni samsung galaxy S4
 
ni ya pc,, nimetoa ya zamani kabla ya ku install mpya
mkuu kama umetoa ya zamani, kuna uwezekano na bookmarks zako zimeondoka, uliwahi kuzi backup online na account ya firefox?.

kwa sasa hivi jaribu kuitoa hiyo firefox kwa kufanya full unistall, tumia program kama iobit uninstaller halafu eka upya tena hio firefox. vyema udownload latest version toka site yao.
 
mkuu kama umetoa ya zamani, kuna uwezekano na bookmarks zako zimeondoka, uliwahi kuzi backup online na account ya firefox?.

kwa sasa hivi jaribu kuitoa hiyo firefox kwa kufanya full unistall, tumia program kama iobit uninstaller halafu eka upya tena hio firefox. vyema udownload latest version toka site yao.

Asante ngoja nijaribu
 
Sijui kama itafanya kazi hii
Tumia moziila firefix itaifix firefox.

Mashart usiwe na kibamia ndio inadetect.
Teh teh

Mmenuna kama na nyie mmezingirwa na general chiwanga na wenzie.
 
Wataalamu nisaidieni. Mozilla browser haifanyi kazi. Nadhani ime-crush. Nimejaribu ku install upya inaleta pop message kuwa Your Mozilla Fire Fox profile is unavailable or not accessible...
Ukiwasha profile haiji, muonekano wa screen hauko kama ilivyokuwa zamani.

Wameshairekebisha masaa machache yaliyopita. Ilikuwa ni tatizo la dunia nzima sasahivi iko poa
 
Sijui kama itafanya kazi hii
Tumia moziila firefix itaifix firefox.

Mashart usiwe na kibamia ndio inadetect.
Teh teh

Mmenuna kama na nyie mmezingirwa na general chiwanga na wenzie.
utani mwingine hafai kwenye shida please
 
chief eti ni kweli kuna mwenzetu hapa amesema eti ilikuwa na tatizo dunia nzima na sasa wamerekebisha. Is that possible
kuna uwezekano mkubwa anazingua, sababu firefox sio website, ni browser. na kazi ya browser ni kuturahisishia tu hizo website kwa maandishi na mapicha, ni ngumu browser iende offline, unless ni server based browser kama operamini na ucweb mini.
 
Back
Top Bottom