Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,256
- 2,572
Habari wakuu,
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.