HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Hellow wakuu...
Kuna tabia kama tano zimekuwa zikinikera sana pindi ninapojaribu kutaka kufanya communication na watu kupitia mitandao yangu ya kijamii kama facebook,instagram,jf,twitter
Jambo la kwanza inauma na inakera unajalibu kumtext au kumpigia mtu wa karibu au rafiki tu kwa simu hapokei hata na mbaya zaidi unaona mfano kwa whatsup ya kuwa mtu huyo yupo online...
Jambo la pili...inauma na kukera kujaribu kujenga ukaribu na watu kwa kucoment thread au post zao lakini hauoni mtu akionyesha respond yoyote kwa mchango wako ulioutoa..
Jambo la tatu,,,,kujaribu kufanya ndugu,rafiki,mpenzi wako wa karibu kuwa nao karibu kimawasiliano ila hawaonyeshi respond yoyote juu yako...
Note,,niambie mambo gani yanakukera kwa mtandao ya social network???
Kuna tabia kama tano zimekuwa zikinikera sana pindi ninapojaribu kutaka kufanya communication na watu kupitia mitandao yangu ya kijamii kama facebook,instagram,jf,twitter
Jambo la kwanza inauma na inakera unajalibu kumtext au kumpigia mtu wa karibu au rafiki tu kwa simu hapokei hata na mbaya zaidi unaona mfano kwa whatsup ya kuwa mtu huyo yupo online...
Jambo la pili...inauma na kukera kujaribu kujenga ukaribu na watu kwa kucoment thread au post zao lakini hauoni mtu akionyesha respond yoyote kwa mchango wako ulioutoa..
Jambo la tatu,,,,kujaribu kufanya ndugu,rafiki,mpenzi wako wa karibu kuwa nao karibu kimawasiliano ila hawaonyeshi respond yoyote juu yako...
Note,,niambie mambo gani yanakukera kwa mtandao ya social network???