moyo wangu unataka kupasuka

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,542
3,502
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.

Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji
 
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.

Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji
siku ukikua utazoea tu.

ipo siku utaambiwa baby nimekatika mkuu naomba hela ya kusafisha kidonda,
 
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.

Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji

Yaani mtu anakudanganya kama mtoto kwamba kashinda njaa kutwa nzima halafu bado unachanganyikiwa kwa kumpenda?? Sio mzima weee
 
Hii style ya mabint unafika muda wa hatar anakwambia simu inazima chaji siielewagi kabisa.

Mara nyingi akikwambia hivyo kuna jambo....
 
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.

Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji

Anajua uzaifu wako na atakutifilisi
 
Ha ha ha. Subiri utamuuliza vizuri kesho kwamba katundikwa bao ngapi kidharura dharura. Kuna watu ni opportunists!! Ila usikonde mkuu. Teh teh
 
Ha ha ha. Subiri utamuuliza vizuri kesho kwamba katundikwa bao ngapi kidharura dharura. Kuna watu ni opportunists!! Ila usikonde mkuu. Teh teh
duh kwahiyo yuko unatundikwa??? ngoja nikajiliwaze huko mtaani tu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom