Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Kimsingi akili mwili na roho yangu vinagoma kuamini Ben sanane na Azory gwanda sitawaona milele Yani siamini kabisaaaa.
Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?
Au hii inanivutia niamini kwamba hata bibilia iliandikwa kwa misingi hi?
Pengine nabii eliya nayeye alipotea kwenye mazingira haya ya Ben sanane na Azory gwanda ndio maana walioandika biblia waliamua kuweka shotkat?
Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!
Siku hazigandi!! Hata ya lisu bado yako moyoni .
Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!
Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?
Au hii inanivutia niamini kwamba hata bibilia iliandikwa kwa misingi hi?
Pengine nabii eliya nayeye alipotea kwenye mazingira haya ya Ben sanane na Azory gwanda ndio maana walioandika biblia waliamua kuweka shotkat?
Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!
Siku hazigandi!! Hata ya lisu bado yako moyoni .
Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!