Moyo wa huyu mzee umenidondokea

Habarini wakuu..... moyo wa huyu mzee umenidondokea ...ilikuwa hivi
Mzee kaja ofisini kwetu alikuwa anahitaji uduma ya kiofisi basi nikamuudumia vizuri tu ...mzee kaanza kunisifia et nimemuudumia vizuri so anahitaji no yangu ili awe ananisalimia bila hiyana nikampa no .
Mzee kufika home kwake tu akaanza kupiga simu ananisifia sana .. so akawa anapiga sana simu anaomba niende kumtembelea kwake mimi nikawa sitaki ...lakini alikazana sana ...nikaona isiwe kesi ngoja nikamsikilize basi nikaenda kwake.
Mzee akaanza kueleza ya moyoni kwamba ananipenda sana toka ameniona pale ofisini hapati hata usingizi ananiwaza tu mimi anahitaji niwe nae karibu ....mke wake alishafariki yuko pekee yake na vijana wakumsaidia hapo home.....kimaisha yuko vizuri sana kwani anavijana wakubwa wanaomtunza ....kijana wake mkubwa yuko Tokyo alizaa na mzungu kipindi anasoma uko.....na mengine mengi amenielezea...
..mzee ananipenda sana kwani kwa siku anaweza anipigie simu mara 5 anauliza naendeleaje na kama ninashida nimwambie ....anamtuma mpaka dereva wake aje anione kama niko poa uko job !

Shida iliyopo mzee anaumwa kisukari ....mimi naogopa kumkubalia coz anaweza kuomba shoo nikampa akanifia bureeeee kutokana na hilo tatizo la sukari

Nikisema nimkatie mawasiliano roho inaniuma naona kama atasononeka sana coz mzee anahitaji sana faraja yangu ...yani akiniona tu unaona kabisa vile anakuwa happy

Ikumbukwe mzee ana 81age

Ushauri plz nifanyeje?
nakushauri kamuombe ushauri K-LYNN
 
Habarini wakuu..... moyo wa huyu mzee umenidondokea ...ilikuwa hivi
Mzee kaja ofisini kwetu alikuwa anahitaji uduma ya kiofisi basi nikamuudumia vizuri tu ...mzee kaanza kunisifia et nimemuudumia vizuri so anahitaji no yangu ili awe ananisalimia bila hiyana nikampa no .
Mzee kufika home kwake tu akaanza kupiga simu ananisifia sana .. so akawa anapiga sana simu anaomba niende kumtembelea kwake mimi nikawa sitaki ...lakini alikazana sana ...nikaona isiwe kesi ngoja nikamsikilize basi nikaenda kwake.
Mzee akaanza kueleza ya moyoni kwamba ananipenda sana toka ameniona pale ofisini hapati hata usingizi ananiwaza tu mimi anahitaji niwe nae karibu ....mke wake alishafariki yuko pekee yake na vijana wakumsaidia hapo home.....kimaisha yuko vizuri sana kwani anavijana wakubwa wanaomtunza ....kijana wake mkubwa yuko Tokyo alizaa na mzungu kipindi anasoma uko.....na mengine mengi amenielezea...
..mzee ananipenda sana kwani kwa siku anaweza anipigie simu mara 5 anauliza naendeleaje na kama ninashida nimwambie ....anamtuma mpaka dereva wake aje anione kama niko poa uko job !

Shida iliyopo mzee anaumwa kisukari ....mimi naogopa kumkubalia coz anaweza kuomba shoo nikampa akanifia bureeeee kutokana na hilo tatizo la sukari

Nikisema nimkatie mawasiliano roho inaniuma naona kama atasononeka sana coz mzee anahitaji sana faraja yangu ...yani akiniona tu unaona kabisa vile anakuwa happy

Ikumbukwe mzee ana 81age

Ushauri plz nifanyeje?
Nipe namba yako na mimi ntakupigia mara kumi zaidi kwa siku OMG 81 years na ww una ngapi
 
Habarini wakuu..... moyo wa huyu mzee umenidondokea ...ilikuwa hivi
Mzee kaja ofisini kwetu alikuwa anahitaji uduma ya kiofisi basi nikamuudumia vizuri tu ...mzee kaanza kunisifia et nimemuudumia vizuri so anahitaji no yangu ili awe ananisalimia bila hiyana nikampa no .
Mzee kufika home kwake tu akaanza kupiga simu ananisifia sana .. so akawa anapiga sana simu anaomba niende kumtembelea kwake mimi nikawa sitaki ...lakini alikazana sana ...nikaona isiwe kesi ngoja nikamsikilize basi nikaenda kwake.
Mzee akaanza kueleza ya moyoni kwamba ananipenda sana toka ameniona pale ofisini hapati hata usingizi ananiwaza tu mimi anahitaji niwe nae karibu ....mke wake alishafariki yuko pekee yake na vijana wakumsaidia hapo home.....kimaisha yuko vizuri sana kwani anavijana wakubwa wanaomtunza ....kijana wake mkubwa yuko Tokyo alizaa na mzungu kipindi anasoma uko.....na mengine mengi amenielezea...
..mzee ananipenda sana kwani kwa siku anaweza anipigie simu mara 5 anauliza naendeleaje na kama ninashida nimwambie ....anamtuma mpaka dereva wake aje anione kama niko poa uko job !

Shida iliyopo mzee anaumwa kisukari ....mimi naogopa kumkubalia coz anaweza kuomba shoo nikampa akanifia bureeeee kutokana na hilo tatizo la sukari

Nikisema nimkatie mawasiliano roho inaniuma naona kama atasononeka sana coz mzee anahitaji sana faraja yangu ...yani akiniona tu unaona kabisa vile anakuwa happy

Ikumbukwe mzee ana 81age

Ushauri plz nifanyeje?
Kazi kweli kweli binti mbichi Put in
 
Huu uzi umenipandisha hasira!
Nimekumbuka "mpuuzi" mmoja hivi baada ya mama yetu kufariki ndio anamchuna baba huko kijijini.
Yaani mzee keshatoa maelekezo kwa mama mwenye baa kuwa huyo dada akifika hapo ale, anywe, halafu yeye anapewa tu bili.
Mbaya zaidi nasikia anamvia baba tarehe za kwenda kuchukua pension zao ndio anajifanya kuwa naye bega kwa bega.
mxewwwwiiiiiw
Pole mwanangu, kumbe na wewe uko humu? Ila usijari, pension hataiona!!!!
 
Hahaha Put In yeye Hajali kuhusu umri wa mzee miaka 81.. ila anachojali ni ugonjwa wake '...... nadhani umenielewa mkuu ..Aisee
Nimekuelewa mkuu najaribu kumuonyesha kuwa kama anaogopa kisukari cha mzee asijaribu kuyaingia mahusiano hayo maana inakua kama anajilazimsha sasa anatafuta maoni ya njia tofauti ya kumpa moyo...mimi namwambia ajishauri yeye mwenyewe maana maisha ni yake sio ya mtu mwingine, furaha ni yake na sio ya mtu mwingine
 
Aise nilikuwa sijasoma vizuri mada. .kumbe huyo mzee huo ndio umri wake. ...

Aise hiyo ni case..kwanza hata family yake na jamii nzima itamuhisi kuwa ame fuata Mali za mzee tu na sio vingine kabisa
Kabisaaa hujakosea hata.

Japo nawaza tu msichana tena anayejiita "mbichi" anaanzaje kujiweka kwa mzee kiasi hicho. Wakati vijana mmejaa tele. 😜😜😜
 
Vijana wengine Wana tumia sijui wanaita ndio vumbi sijui nini la Congo ' ...so hataki Kuja kukutana na Balaa mpaka aje kujikanda bure
Kabisaaa hujakosea hata.

Japo nawaza tu msichana tena anayejiita "mbichi" anaanzaje kujiweka kwa mzee kiasi hicho. Wakati vijana mmejaa tele.
 
Habarini wakuu..... moyo wa huyu mzee umenidondokea ...ilikuwa hivi
Mzee kaja ofisini kwetu alikuwa anahitaji uduma ya kiofisi basi nikamuudumia vizuri tu ...mzee kaanza kunisifia et nimemuudumia vizuri so anahitaji no yangu ili awe ananisalimia bila hiyana nikampa no .
Mzee kufika home kwake tu akaanza kupiga simu ananisifia sana .. so akawa anapiga sana simu anaomba niende kumtembelea kwake mimi nikawa sitaki ...lakini alikazana sana ...nikaona isiwe kesi ngoja nikamsikilize basi nikaenda kwake.
Mzee akaanza kueleza ya moyoni kwamba ananipenda sana toka ameniona pale ofisini hapati hata usingizi ananiwaza tu mimi anahitaji niwe nae karibu ....mke wake alishafariki yuko pekee yake na vijana wakumsaidia hapo home.....kimaisha yuko vizuri sana kwani anavijana wakubwa wanaomtunza ....kijana wake mkubwa yuko Tokyo alizaa na mzungu kipindi anasoma uko.....na mengine mengi amenielezea...
..mzee ananipenda sana kwani kwa siku anaweza anipigie simu mara 5 anauliza naendeleaje na kama ninashida nimwambie ....anamtuma mpaka dereva wake aje anione kama niko poa uko job !

Shida iliyopo mzee anaumwa kisukari ....mimi naogopa kumkubalia coz anaweza kuomba shoo nikampa akanifia bureeeee kutokana na hilo tatizo la sukari

Nikisema nimkatie mawasiliano roho inaniuma naona kama atasononeka sana coz mzee anahitaji sana faraja yangu ...yani akiniona tu unaona kabisa vile anakuwa happy

Ikumbukwe mzee ana 81age

Ushauri plz nifanyeje?
Ha ha haaaa,atakufaje?mwanaume hata km ana miaka 100,haja ya mwanamke ipo pale pale,ww nenda ukaolewe nae tu.hua mnasema vijana wasumbufu sasa umepata bahati ya mzee unachezea tena
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom