eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kama alivyosema kwa moyo mweupe bila unafiki anampongeza mh david kafulila kwa kupigana kufa kupona kuhusu IPTL
Na mimi nampongeza kwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa na nimwombe tu asimvumilie yeyote
Sijawahi kukupongeza lakini leo naandika uzi wa kukupongeza umetuma meseji kwa wana wa uvinza kumrudisha david kafulila katika ubunge
Wale waliomwita tumbili uwashuhulikie
Lakini pia nimegundua ulipokuwa mbunge uliogopa kuitwa msaliti wa chama na kumtaka kafulila alisimamie kidete swala la escrow
Wanasema sisi wa kaskazini ni wagumu kukupongeza lakini leo nimekupongeza mh rais magufuli
Ila punguza kuzuia siasa maana kwa hili hatutakupongeza kamwe sisi tunaojielewa
Maana nasikia Trump leo Katoka nje ya kikao kilichokuwa kinajadili masuala ya Africa kisa tu viongozi wa Afrika hawajielewi
Heshima kubwa kwa david kafulila
Waliokubeza na kuhakikisha haurudi bungeni sasa ni aibu juu yao
Naomba mnipe taarifa yule aliemuita tumbili yuko wapi
Na mimi nampongeza kwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa na nimwombe tu asimvumilie yeyote
Sijawahi kukupongeza lakini leo naandika uzi wa kukupongeza umetuma meseji kwa wana wa uvinza kumrudisha david kafulila katika ubunge
Wale waliomwita tumbili uwashuhulikie
Lakini pia nimegundua ulipokuwa mbunge uliogopa kuitwa msaliti wa chama na kumtaka kafulila alisimamie kidete swala la escrow
Wanasema sisi wa kaskazini ni wagumu kukupongeza lakini leo nimekupongeza mh rais magufuli
Ila punguza kuzuia siasa maana kwa hili hatutakupongeza kamwe sisi tunaojielewa
Maana nasikia Trump leo Katoka nje ya kikao kilichokuwa kinajadili masuala ya Africa kisa tu viongozi wa Afrika hawajielewi
Heshima kubwa kwa david kafulila
Waliokubeza na kuhakikisha haurudi bungeni sasa ni aibu juu yao
Naomba mnipe taarifa yule aliemuita tumbili yuko wapi