bantu.garage
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 1,436
- 502
Mohammed Saidi; kuna movie moja ya Draculla ilioneshwa Paramount Cinema miaka ya 65...ilianza kwa kuoneshwa kaburi kwa mbali likavutwa karibu halafu likapasuka na damu kuanza kumiminika....na music wa kutisha...nakumbuka karibu nusu ya watu walitoka nje.