Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Baada ya kumuona mwanadada/mwanamama Genevive Nnaji akizindua movie yake Netflix huku akisifiwa na wengi wakiwemo sisi watanzania, nikakumbuka nyumbani pia mbona mwaka juzi 2017 msanii wetu Idris Sultan alipewa nafasi ya kuigiza Hollywood na Director mkubwa kabisa kwenye movie inayoitwa 'Ballin...on the other side of the World'.
Swali: Hiyo movie bado haijakamilika na sisi tuweze kumuona tukijivunia kama wakenya na wanaija?
Ni hayo tu kwa leo.
Swali: Hiyo movie bado haijakamilika na sisi tuweze kumuona tukijivunia kama wakenya na wanaija?
Ni hayo tu kwa leo.