Movie: Nobody

...Hutch Mansell, kwenye maisha aliyochagua kuishi, vita na walimwengu hakuitaka, ni yeye mmoja, mkewe kipenzi na watoto aliowathamini..
basi ni hivo tu..
...Jumatatu ya leo aliyoamini kamaliza kazi zake za kila siku, giza lilipoingia watu wawili wakaingia nalo,
wakamletea kazi nyingine ukiacha aliyoacha ofisini kwake mchana..nyumba yake ilivamiwa!..
...Walichotaka ni pesa tu, wakazichukua huku wakimwachia jina baya kwa familia yake, mkewe alimuona mume muoga usiku,
asubuhi majirani wakamdhihaki kuwa hawezi hata kuwadhibiti watu wawili!, sasa aliweza nini kingine!..
...Akafadhaika nyumbani, akaikosa salamu ya mtoto wake asubuhi, akanyimwa amani na wafanyakazi ofisini,
wakamvika cheo cha ubaba mzazi tu, wakamvua cha ubaba kazi, hakika aliumia..
...Ni mtoto wake mdogo, mwanae wa mwisho, alipomshtakia kuwa wale wezi waliondoka na kidani cha shingoni cha paka wake,
Hutch akafunga safari hadi nyumbani kwa wale wezi, na alichokifata hakukipata, akapanda kwenye basi kurudi nyumbani..
...Ni humo kwenye gari la abiria ndipo palipombadilishia maisha yake, ni chombo hicho cha usafiri ndicho kilimrudisha kumkumbusha yeye ni nani!...kwanini!
...Walipanda vijana wa kirusi, wakaamrisha basi liwe chini ya himaya yao, wakataka kila mtu mule ndani atii kila wanalosema, hawakujua..ndio hawakujua..
...Alichowafanya vijana wale, kiliandikwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za dereva, akashuka akarudi nyumbani, huku akiacha kosa kubwa alilofanya barabarani, kosa gani!
..Yulian Kuznetsov, a notorious Russian mob enforcer, muuza madawa mwenye heshima mjini, mtu anaesimamisha magari barabarani na polisi wakiwepo, ili ye apite kwa miguu,
Jeuri ya pesa iliishi kwenye kifua chake, aliutawala mji, akawatawala na watu wake, taarifa zikamfikia kuwa katika vijana waliopigwa kwenye basi, na mdogo wake alikuwepo..
...Akaapa kumtafuta mfanyaji wa hilo tukio, mtu ambae hamuogopi yeye wala jina lake, akatoa amri Hutch aletwe mbele yake kabla ya jua la alfajiri,
na kweli watu wake walikwenda nyumbani kwa Hutch usiku...vitambaa usoni, silaha mkononi..
.....Kwenye chumba kidogo ndani ya nyumba yake, Hutch alimuhifadhi mkewe na watoto wake, mke alipouliza kuna nini, akajibiwa kwa utaratibu tu, kuwa asiwaite polisi!...
...Yess, Hutch Mansell, aliurudia umafia wake wa miaka mingi iliyopita, alitaka kuijenga heshima iliyopotea mtaani,
muda ambao familia yake haimuamini kwa maneno, ye alitaka kuwaonesha kwa vitendo,
kuwa wale wezi wawili wa siku ile ni wachache, ye alihitaji kundi la watu kama wa leo!..
...Mkewe alipotoka ndani na familia yake, walipoona maiti zilizozagaa kwenye nyumba yao, wingi wa watu waliokufa, na muda uliotumika kuwaua,
mkewe aliamua kumkumbatia tu mumewe, hakuwa na namna nyingine..
mtoto wake akatabasamu, wote wakaamini moyoni, kuwa huyu sasa ndo baba,
naam!, baba mzazi, baba mlezi, na baba kazi...
...Taarifa ikamfikia Yulian Kuznetsov, akajulishwa kuwa hakuna mtu wako alienusurika kwenye ile nyumba,
akaamua kuulizia kwani huyo mtu ni nani!...majibu yaliyokuja yalimuacha mdomo wazi!..
An assassin employed by intelligence agencies to kill people, Hutch ni binadamu mbaya, mwenye roho ya kikatili kuwahi kuumbwa kwenye uso wa dunia,
hata mkewe alikuwa hamjui, alichojua yeye ni baba muoga, anaetunza familia tu..
..Ila serikali ya marekani inamtambua kama mtu pekee mwenye uwezo wa ajabu, alieshindikana na mtu yoyote chini ya jua, ni human made for killing,
...Lilipohitajika kwenda jeshi, alienda yeye..
Hutch hajui kuumiza mtu, anachoamini ni kuwa kwenye mkono wake, mwili wa binadamu na roho yake, wanatakiwa wasiishi pamoja..
...Mrusi akachefukwa, akapiga simu kwa kila aliemjua, akaandaa jeshi, akatoa amri kuwa hata kwa yeye kuwa maskini, lakini Hutch aletwe mbele yake akiwa maiti,
...Alichokuwa hakijui ni kuwa huyu former soldier huwa hasubiri kutafutwa, muda yeye anaulizia alipo mwanajeshi yule,
ndo wakati ambao Hutch anaisafirisha familia yake ili akaonane na yeye..
...Yeye anataka kumfuata, mwenzie yupo njiani anamfuata yeye...
....Alikuwa kayavagaa...
...Yulian Kuznetsov hakutaka kushindwa na mtu mmoja, akaamua liwalo na liwe, lakini sasa liwe kwa nani!!...kazi ilianzia hapo..


©Kaisal Ally
Dah! We jamaa😀
Unajua kusimulia kinoma afu mzigo ninao ila sijaucheki bado ngoja Leo usiku niusanukie sio kwa summary hii
 
...Hutch Mansell, kwenye maisha aliyochagua kuishi, vita na walimwengu hakuitaka, ni yeye mmoja, mkewe kipenzi na watoto aliowathamini..
basi ni hivo tu..
...Jumatatu ya leo aliyoamini kamaliza kazi zake za kila siku, giza lilipoingia watu wawili wakaingia nalo,
wakamletea kazi nyingine ukiacha aliyoacha ofisini kwake mchana..nyumba yake ilivamiwa!..
...Walichotaka ni pesa tu, wakazichukua huku wakimwachia jina baya kwa familia yake, mkewe alimuona mume muoga usiku,
asubuhi majirani wakamdhihaki kuwa hawezi hata kuwadhibiti watu wawili!, sasa aliweza nini kingine!..
...Akafadhaika nyumbani, akaikosa salamu ya mtoto wake asubuhi, akanyimwa amani na wafanyakazi ofisini,
wakamvika cheo cha ubaba mzazi tu, wakamvua cha ubaba kazi, hakika aliumia..
...Ni mtoto wake mdogo, mwanae wa mwisho, alipomshtakia kuwa wale wezi waliondoka na kidani cha shingoni cha paka wake,
Hutch akafunga safari hadi nyumbani kwa wale wezi, na alichokifata hakukipata, akapanda kwenye basi kurudi nyumbani..
...Ni humo kwenye gari la abiria ndipo palipombadilishia maisha yake, ni chombo hicho cha usafiri ndicho kilimrudisha kumkumbusha yeye ni nani!...kwanini!
...Walipanda vijana wa kirusi, wakaamrisha basi liwe chini ya himaya yao, wakataka kila mtu mule ndani atii kila wanalosema, hawakujua..ndio hawakujua..
...Alichowafanya vijana wale, kiliandikwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za dereva, akashuka akarudi nyumbani, huku akiacha kosa kubwa alilofanya barabarani, kosa gani!
..Yulian Kuznetsov, a notorious Russian mob enforcer, muuza madawa mwenye heshima mjini, mtu anaesimamisha magari barabarani na polisi wakiwepo, ili ye apite kwa miguu,
Jeuri ya pesa iliishi kwenye kifua chake, aliutawala mji, akawatawala na watu wake, taarifa zikamfikia kuwa katika vijana waliopigwa kwenye basi, na mdogo wake alikuwepo..
...Akaapa kumtafuta mfanyaji wa hilo tukio, mtu ambae hamuogopi yeye wala jina lake, akatoa amri Hutch aletwe mbele yake kabla ya jua la alfajiri,
na kweli watu wake walikwenda nyumbani kwa Hutch usiku...vitambaa usoni, silaha mkononi..
.....Kwenye chumba kidogo ndani ya nyumba yake, Hutch alimuhifadhi mkewe na watoto wake, mke alipouliza kuna nini, akajibiwa kwa utaratibu tu, kuwa asiwaite polisi!...
...Yess, Hutch Mansell, aliurudia umafia wake wa miaka mingi iliyopita, alitaka kuijenga heshima iliyopotea mtaani,
muda ambao familia yake haimuamini kwa maneno, ye alitaka kuwaonesha kwa vitendo,
kuwa wale wezi wawili wa siku ile ni wachache, ye alihitaji kundi la watu kama wa leo!..
...Mkewe alipotoka ndani na familia yake, walipoona maiti zilizozagaa kwenye nyumba yao, wingi wa watu waliokufa, na muda uliotumika kuwaua,
mkewe aliamua kumkumbatia tu mumewe, hakuwa na namna nyingine..
mtoto wake akatabasamu, wote wakaamini moyoni, kuwa huyu sasa ndo baba,
naam!, baba mzazi, baba mlezi, na baba kazi...
...Taarifa ikamfikia Yulian Kuznetsov, akajulishwa kuwa hakuna mtu wako alienusurika kwenye ile nyumba,
akaamua kuulizia kwani huyo mtu ni nani!...majibu yaliyokuja yalimuacha mdomo wazi!..
An assassin employed by intelligence agencies to kill people, Hutch ni binadamu mbaya, mwenye roho ya kikatili kuwahi kuumbwa kwenye uso wa dunia,
hata mkewe alikuwa hamjui, alichojua yeye ni baba muoga, anaetunza familia tu..
..Ila serikali ya marekani inamtambua kama mtu pekee mwenye uwezo wa ajabu, alieshindikana na mtu yoyote chini ya jua, ni human made for killing,
...Lilipohitajika kwenda jeshi, alienda yeye..
Hutch hajui kuumiza mtu, anachoamini ni kuwa kwenye mkono wake, mwili wa binadamu na roho yake, wanatakiwa wasiishi pamoja..
...Mrusi akachefukwa, akapiga simu kwa kila aliemjua, akaandaa jeshi, akatoa amri kuwa hata kwa yeye kuwa maskini, lakini Hutch aletwe mbele yake akiwa maiti,
...Alichokuwa hakijui ni kuwa huyu former soldier huwa hasubiri kutafutwa, muda yeye anaulizia alipo mwanajeshi yule,
ndo wakati ambao Hutch anaisafirisha familia yake ili akaonane na yeye..
...Yeye anataka kumfuata, mwenzie yupo njiani anamfuata yeye...
....Alikuwa kayavagaa...
...Yulian Kuznetsov hakutaka kushindwa na mtu mmoja, akaamua liwalo na liwe, lakini sasa liwe kwa nani!!...kazi ilianzia hapo..


©Kaisal Ally
nilikuwa napenda sana pigo zake hasa pale anawapa stori wale majeruhi wake kuhusu yeye ni nani!!halafu akaplay CD ya moto naipenda san ile scene haswaa ile country ilikuwa inapigwa pale!akachukua gari ya yule jirani halafu akai GRACE v8 engine he said...hahaha
hizo pigo ndo zilikuwa nazikubali sana.
 
nilikuwa napenda sana pigo zake hasa pale anawapa stori wale majeruhi wake kuhusu yeye ni nani!!halafu akaplay CD ya moto naipenda san ile scene haswaa ile country ilikuwa inapigwa pale!akachukua gari ya yule jirani halafu akai GRACE v8 engine he said...hahaha
hizo pigo ndo zilikuwa nazikubali sana.
Naikubali sana hiyo scene. Ile ni jazz , hadi nililitafuta lile song. Linaitwa what a wonderful world by Louis Armstrong.
 
Naikubali sana hiyo scene. Ile ni jazz , hadi nililitafuta lile song. Linaitwa what a wonderful world by Louis Armstrong.
tuacheni maskhara hizi masong ya jazz na country huwa yananogesha sana..ngoja niipakue niiweke ringtone hii
 
Alibarikiwa pesa nyingi akanyimwa uhuru wa kuzitumia..jela ikamuamrisha atoe amri akiwa nyuma ya nondo..ni tajiri haswa,maadui lukuki na watumishi wanaotii...
mahajan akaamrisha mtoto wake awekwe kwenye uangalizi wa hali ya juu mpaka yeye atakapotoka jela...
...haikuwa hivo..
...Kosa moja la kukosa umakini lilimsafirisha mtoto ovi kutoka india mpaka bangladesh..mikononi mwa adui mkubwa wa babaake..chini ya himaya ya nusu mtu nusu shetani...
babake kama ni don wa india...huyu ni mwasisi wa waasi wa bangladesh...taarifa ikamfikia mahajan akiwa jela na amri akatoa...hata kwa gharama ya kitovu cha nchi..alimuhitaji mwanae kwa lazima...
.....Picha likaanza....
...Ni tayler rake..black-market mercenary and former Australian Special Air Service Regiment soldier..
mtu aliepoteza kila kitu kwenye maisha yake na kubaki yeye na pumzi..wawili tu...
mke asiejua alipo na mtoto aliekufa kwa pumu..vilimfanya aamue kuishi maisha yake..yasiyoogopa kufa..
...Ni mafia wa kukodiwa...kazi inayohitaji liende jeshi..alienda yeye..bunduki ilikuwa inakubali kutii kila analosema na vita ndo maisha aliyochagua..
akawekewa pesa mezani..akapewa wajibu wa kumrudisha mtoto ovi kwa babaake...mwanaume akaingia kazini..
...Ni bangladesh ndipo tyler alionja uchungu wa ugumu wa vita...alimpata mtoto lakini hakurudi na mtoto...
Aliamini kwenye pesa...akaamini kwenye uwezo wake wa mapambano...Alipofanikiwa kumpata mtoto..akafanikiwa kujua kuwa amezungukwa kwenye pesa na wanaotakiwa kumlipa...
...Tyler hajui amuache mtoto aondoke yeye...au awe na huruma japo pesa kaikosa... mji umewekwa lockdown..
Hakuna mahali pa kupita yeye bila kujulikana...Al
ihitajika akiwa hai..na jeshi ndo lilichukua dhamana ya upatikanaji wake...
tyler alihitaji kuwa mwanajeshi kweli mbele ya jeshi la waasi...ni mtu mmoja dhidi ya nchi nzima...
....Akafunga mkanda akamwamrisha mtoto ovi amuamini...mtoto alipojua yupo kwenye mikono salama akakubali kusikia risasi zikipishana mbele yake...
tyler kaamua ni yeye afe...mtoto afike....
..ilipigwa vita ya karne..
..Chris Hemsworth anapoionesha dunia kwanini yeye ni msanii wa pili kulipwa pesa nyingi duniani kwenye filamu..
....Moja kati ya action movie ya mwaka 2020 isiyochosha...




©Kaisal Ally
Mkuu nichambulie angels and demons(2009) na inferno (2016)
 
...Hutch Mansell, kwenye maisha aliyochagua kuishi, vita na walimwengu hakuitaka, ni yeye mmoja, mkewe kipenzi na watoto aliowathamini..
basi ni hivo tu..
...Jumatatu ya leo aliyoamini kamaliza kazi zake za kila siku, giza lilipoingia watu wawili wakaingia nalo,
wakamletea kazi nyingine ukiacha aliyoacha ofisini kwake mchana..nyumba yake ilivamiwa!..
...Walichotaka ni pesa tu, wakazichukua huku wakimwachia jina baya kwa familia yake, mkewe alimuona mume muoga usiku,
asubuhi majirani wakamdhihaki kuwa hawezi hata kuwadhibiti watu wawili!, sasa aliweza nini kingine!..
...Akafadhaika nyumbani, akaikosa salamu ya mtoto wake asubuhi, akanyimwa amani na wafanyakazi ofisini,
wakamvika cheo cha ubaba mzazi tu, wakamvua cha ubaba kazi, hakika aliumia..
...Ni mtoto wake mdogo, mwanae wa mwisho, alipomshtakia kuwa wale wezi waliondoka na kidani cha shingoni cha paka wake,
Hutch akafunga safari hadi nyumbani kwa wale wezi, na alichokifata hakukipata, akapanda kwenye basi kurudi nyumbani..
...Ni humo kwenye gari la abiria ndipo palipombadilishia maisha yake, ni chombo hicho cha usafiri ndicho kilimrudisha kumkumbusha yeye ni nani!...kwanini!
...Walipanda vijana wa kirusi, wakaamrisha basi liwe chini ya himaya yao, wakataka kila mtu mule ndani atii kila wanalosema, hawakujua..ndio hawakujua..
...Alichowafanya vijana wale, kiliandikwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za dereva, akashuka akarudi nyumbani, huku akiacha kosa kubwa alilofanya barabarani, kosa gani!
..Yulian Kuznetsov, a notorious Russian mob enforcer, muuza madawa mwenye heshima mjini, mtu anaesimamisha magari barabarani na polisi wakiwepo, ili ye apite kwa miguu,
Jeuri ya pesa iliishi kwenye kifua chake, aliutawala mji, akawatawala na watu wake, taarifa zikamfikia kuwa katika vijana waliopigwa kwenye basi, na mdogo wake alikuwepo..
...Akaapa kumtafuta mfanyaji wa hilo tukio, mtu ambae hamuogopi yeye wala jina lake, akatoa amri Hutch aletwe mbele yake kabla ya jua la alfajiri,
na kweli watu wake walikwenda nyumbani kwa Hutch usiku...vitambaa usoni, silaha mkononi..
.....Kwenye chumba kidogo ndani ya nyumba yake, Hutch alimuhifadhi mkewe na watoto wake, mke alipouliza kuna nini, akajibiwa kwa utaratibu tu, kuwa asiwaite polisi!...
...Yess, Hutch Mansell, aliurudia umafia wake wa miaka mingi iliyopita, alitaka kuijenga heshima iliyopotea mtaani,
muda ambao familia yake haimuamini kwa maneno, ye alitaka kuwaonesha kwa vitendo,
kuwa wale wezi wawili wa siku ile ni wachache, ye alihitaji kundi la watu kama wa leo!..
...Mkewe alipotoka ndani na familia yake, walipoona maiti zilizozagaa kwenye nyumba yao, wingi wa watu waliokufa, na muda uliotumika kuwaua,
mkewe aliamua kumkumbatia tu mumewe, hakuwa na namna nyingine..
mtoto wake akatabasamu, wote wakaamini moyoni, kuwa huyu sasa ndo baba,
naam!, baba mzazi, baba mlezi, na baba kazi...
...Taarifa ikamfikia Yulian Kuznetsov, akajulishwa kuwa hakuna mtu wako alienusurika kwenye ile nyumba,
akaamua kuulizia kwani huyo mtu ni nani!...majibu yaliyokuja yalimuacha mdomo wazi!..
An assassin employed by intelligence agencies to kill people, Hutch ni binadamu mbaya, mwenye roho ya kikatili kuwahi kuumbwa kwenye uso wa dunia,
hata mkewe alikuwa hamjui, alichojua yeye ni baba muoga, anaetunza familia tu..
..Ila serikali ya marekani inamtambua kama mtu pekee mwenye uwezo wa ajabu, alieshindikana na mtu yoyote chini ya jua, ni human made for killing,
...Lilipohitajika kwenda jeshi, alienda yeye..
Hutch hajui kuumiza mtu, anachoamini ni kuwa kwenye mkono wake, mwili wa binadamu na roho yake, wanatakiwa wasiishi pamoja..
...Mrusi akachefukwa, akapiga simu kwa kila aliemjua, akaandaa jeshi, akatoa amri kuwa hata kwa yeye kuwa maskini, lakini Hutch aletwe mbele yake akiwa maiti,
...Alichokuwa hakijui ni kuwa huyu former soldier huwa hasubiri kutafutwa, muda yeye anaulizia alipo mwanajeshi yule,
ndo wakati ambao Hutch anaisafirisha familia yake ili akaonane na yeye..
...Yeye anataka kumfuata, mwenzie yupo njiani anamfuata yeye...
....Alikuwa kayavagaa...
...Yulian Kuznetsov hakutaka kushindwa na mtu mmoja, akaamua liwalo na liwe, lakini sasa liwe kwa nani!!...kazi ilianzia hapo..


Kaisal Ally
Aisee itabidi niiangalie upys hii Movie
 
Mzigo wa WRATH OF MAN uko online


images (81).jpeg
 
Mzigo wa WRATH OF MAN uko online


View attachment 1797187
Ipo telegram kesho ofisini nikaipakue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom