Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,266
- 5,663
girlfriend TID
Hii movie kali staring anapigwa risasi za kifua ila hafi...A boy from kolomije,,, in town
Umeona.... Alafu kwenye movie hii kuna majaa watatu ni asili moja wananogesha movie kweliiiHii movie kali staring anapigwa risasi za kifua ila hafi...
Hatari movie 1 mastaring 4 na wote hawakubali kufa ili movie iishe patamu apoUmeona.... Alafu kwenye movie hii kuna majaa watatu ni asili moja wananogesha movie kweliii
Mkuu siku hizi hizi movie ni kama hazipo maana vijana wanapenda sana series za ki-Korea...Indecent Proposal... wacha kabisa hii makitu.
Kwakweli... haya maseriea mi hata siyaelewi...Mkuu siku hizi hizi movie ni kama hazipo maana vijana wanapenda sana series za ki-Korea...
Wanaziita "season" siku hizi,kazi kweli kweli.....
Zinaharibu maisha ya hawa madogo balaa,sijui shida ni nini aisee...
Basic Insticts nishaiona ila hizo nyingine nitazitafuta mkuu....Kwakweli... haya maseriea mi hata siyaelewi...
Ulishaangalia movie inaitwa Basic Insticts?? Not without my daughter?? Savior?? Kama bado zitafute mkuu... ni noma
UNfaithful. Jamaa hakua na mambo mengi yeye kusimamia kucha mwanzo mwisho. Imenifundisha katika mapenzi au ndoa kile kipengele cha kusimamia kucha aisee sio cha kuacha.It might be you
UNfaithful. Jamaa hakua na mambo mengi yeye kusimamia kucha mwanzo mwisho. Imenifundisha katika mahusiano au ndoa kile kipengele cha kusimamia kucha aisee sio cha kuacha.It might be you
Basic Insticts nishaiona ila hizo nyingine nitazitafuta mkuu....
Acha waangalie hayo ma-season yao mkuu maana sisi hatuyawezi....
Nilikuwa nimekuwa mpenzi mkubwa sana wa series lakini zilipoanza kuja hizi sijui "Udaa" nikashindwa kuangalia kabisa labda niangalie zile za kufan
ana na ninazotaka maana ni chache
sana siku hizi.....
Hahahahaaaaa....Mkuu umekoswa na mimi.... njoo basi tujiselfie hata kwenye daraja jipya. .
Hii imechezwa na Richard Gere na Diane Lane.....UNfaithful. Jamaa hakua na mambo mengi yeye kusimamia kucha mwanzo mwisho. Imenifundisha katika mahusiano au ndoa kile kipengele cha kusimamia kucha aisee sio cha kuacha.
Brown sugaram in love with a church girl
love doesn't cost a thing
mingine mwenye kujua movie za black america kama hizi ni quote nizitafute