Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,194
- 9,960
Me mwnyw nlijua jamaa yule black atafight nashangaa kafa kiboooyaa ila muv ya kawaida tuanyway movie ni nzuri kuangalia, wamejitahidi ubunifu ni wa kawaida can't compare to part 1 yake au movie kama bird box.
Djimon(black man mwishoni) anakufa simple sana, inshort sipendi uzembe wa vile kwenye movie yoyote ile.
Sent using Jamii Forums mobile app