Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,286
Hapa bado hamjui muvi kali,kwanza mna tv lakini?
au mnaangalizia kwenye laptop?
maana utamu wa muvi kali uwe na tv kuanzia inch 55 kwenda juu...
Wengine ni watanzania wa kawaida sio kila mtu ana uwezo wa kuafford hiyo QLED tv, unakoendea utasema sasa kila movie kali ikaangaliwe century cinemax