Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 855
- 390
Katika ziara alizofanya Rais Kikwete katika wizara mbalimbali, nilitegemea Wizara ya nishati na madini angeipa kipaumbele kutokana na uzito wake na mchango wake katika maendeleo ya taifa. Ukitathmini mchango wa madini na nishati hasa kwa kipindi hiki kigumu cha uchumi wa taifa sijajua ni sera au kigezo gani anatumia kuiepa hii wizara. Je kuna sababu yoyote muhimu ya kuitembelea mwishoni baada ya wizara nyingine? (au hatoitembelea kabisa kwasababu keshatembelea TANESCO?)
Ni mtazamo tu.
Ni mtazamo tu.