Waziri2025
Senior Member
- Sep 2, 2019
- 148
- 379
Hoteli ya kitalii jijini Arusha Mount Meru hotel imeingia kwenye mgogoro na wateja muda huu baada yakuwalazimisha wateja wao kulipa shiling elfu ishirini na tano kama kiingilio
Kiingilio hicho hakitakuruhusu kupata chochote ndani Bali kila utakachokihitaji utatakiwa kulipa
Baadhi ya wateja wameonekana kushindwa kulipa kiingilio hicho nakuamua kuondoka kwa kuwa sio utaratibu.Imeelezwa kwamba hoteli hiyo imekosa mvuto jambo lililopelekea kufanya hivyo
.......,.........
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingilio hicho hakitakuruhusu kupata chochote ndani Bali kila utakachokihitaji utatakiwa kulipa
Baadhi ya wateja wameonekana kushindwa kulipa kiingilio hicho nakuamua kuondoka kwa kuwa sio utaratibu.Imeelezwa kwamba hoteli hiyo imekosa mvuto jambo lililopelekea kufanya hivyo
.......,.........
Sent using Jamii Forums mobile app