Hospitali ya mkoa wa Arusha nao safari hii wameungana na madaktari wenzao wa muhimbili katika mgoma usiokua na mwisho mpaka madai yao ya msingi yatakapo timizwa.
Ikumbukwe kua hule mgomo wa mara ya kwanza Arusha hawakushiriki kabisa.
ANGALIZO KWA JK NA WASHAURI WAKE:
Kama ijulikanavyo mageuzi yataanzia kaskazini, basi sasa ni wakati muafaka kwa JK kuchukua maamuzi haraka iwezekanavyo tofauti na hivyo pale magogoni atakua anapasikilizia akiwa msoga kama the huege. Machalii wa Arusha sio watu wa kufanya nao masihara hata kidogo, hakuna atakayekubali kuvumilia ulegelege wa serikali dhaifu na dhalimu kukaa na kuangalia maisha ya watanzania walalahoi wakifa pasipo sababu za msingi, kisa ni kulindana na ushakaji usiokuwa na tija kwa mustakabali wa taifa na maisha ya raia wasiokua na hatia.
Wao wakiugua hata mafua wanapanda ndege kwenda India, kwanini wasituboreshee na sisi angalau kuliko kutudharau na kutukejeli? Haikubaliki na haitokubalika madaktari wapewe stahili yao kama wanavyotaka, tofauti na hilo lazima kieleweke.
CHANZO CHA HABARI ni kutoka kwa doctor mmojawapo Mount Meru Hospital.
Ikumbukwe kua hule mgomo wa mara ya kwanza Arusha hawakushiriki kabisa.
ANGALIZO KWA JK NA WASHAURI WAKE:
Kama ijulikanavyo mageuzi yataanzia kaskazini, basi sasa ni wakati muafaka kwa JK kuchukua maamuzi haraka iwezekanavyo tofauti na hivyo pale magogoni atakua anapasikilizia akiwa msoga kama the huege. Machalii wa Arusha sio watu wa kufanya nao masihara hata kidogo, hakuna atakayekubali kuvumilia ulegelege wa serikali dhaifu na dhalimu kukaa na kuangalia maisha ya watanzania walalahoi wakifa pasipo sababu za msingi, kisa ni kulindana na ushakaji usiokuwa na tija kwa mustakabali wa taifa na maisha ya raia wasiokua na hatia.
Wao wakiugua hata mafua wanapanda ndege kwenda India, kwanini wasituboreshee na sisi angalau kuliko kutudharau na kutukejeli? Haikubaliki na haitokubalika madaktari wapewe stahili yao kama wanavyotaka, tofauti na hilo lazima kieleweke.
CHANZO CHA HABARI ni kutoka kwa doctor mmojawapo Mount Meru Hospital.