Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Nimegundua nchi ya watu Wa amani wanaweza kuongozwa na mwanangu ,,,maana anaakili kubwa sana na vipimo vimefanyika ,,,vipimo au kipimo hicho ni hiki,,,mwanangu Jana na Leo nilitoka kwenda job,,Jana akaniagizia filimbi,,sikuleta maana sikupata,,nilivorudi tu home akaniuliza filimbi iko wapi,,nikamwambia hakuna huko dukani ,akaniambia kama hakuna nimletee nimletee pipi nikamwambia sawa,,bati sikumletea akaniuliza pipi take nilivorudi nikamjibu ukila pipi utaoza meno,,so nzuri akaniambia kama sio nzuri mbona wanauza?