Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,576
- 1,395
Ndugu wanaJF,
Tumezoea baada ya mitihani ya darasa la saba inachukua mwezi mmoja matokeo kutoka. Lakini mwaka huu matokeo yamezidi kiasi hicho cha muda na hakuna tetesi. Kwa kuwa JF ni sehemu iyosheheni watu wenye taarifa mbalimbali naomba niulize, matokeo yanategemewa kutoka lini?
Najua humu kuna wafanyakazi wa baraza la mitihani na wanaweza kutusaidia.
Asante.
Tumezoea baada ya mitihani ya darasa la saba inachukua mwezi mmoja matokeo kutoka. Lakini mwaka huu matokeo yamezidi kiasi hicho cha muda na hakuna tetesi. Kwa kuwa JF ni sehemu iyosheheni watu wenye taarifa mbalimbali naomba niulize, matokeo yanategemewa kutoka lini?
Najua humu kuna wafanyakazi wa baraza la mitihani na wanaweza kutusaidia.
Asante.