MotoGP, WRC, SuperBike and other Motorsports

Kwa Kumbukumbu

Mtaliano Andrea Ionane wa team Ducati ameweka rekodi mpya ya kwenda kasi katika MotoGP huko Mugello Itali mwishoni mwa wiki iliyopita pale alipweza kwenda kasi ya km 349.6 kwa saa.

Rekodi iliyovunjwa ilikuwa ikishikiliwa na Dani Pedrosa "Respol Honda" aliyoiweka mwaka 2009 ya km 349.288 kwa saa, katika uwanja huo huo.
 
Kwa Kumbukumbu

Mtaliano Andrea Ionane wa team Ducati ameweka rekodi mpya ya kwenda kasi katika MotoGP huko Mugello Itali mwishoni mwa wiki iliyopita pale alipweza kwenda kasi ya km 349.6 kwa saa.

Rekodi iliyovunjwa ilikuwa ikishikiliwa na Dani Pedrosa "Respol Honda" aliyoiweka mwaka 2009 ya km 349.288 kwa saa, katika uwanja huo huo.

Kuna watu wana kufuru aisee.

Anaweza kutoka dar hadi arusha kwa masaa mawili tu
 
Kwa Kumbukumbu

Mtaliano Andrea Ionane wa team Ducati ameweka rekodi mpya ya kwenda kasi katika MotoGP huko Mugello Itali mwishoni mwa wiki iliyopita pale alipweza kwenda kasi ya km 349.6 kwa saa.

Rekodi iliyovunjwa ilikuwa ikishikiliwa na Dani Pedrosa "Respol Honda" aliyoiweka mwaka 2009 ya km 349.288 kwa saa, katika uwanja huo huo.

Viwanja vya Italia vinaruhusu watu kufunguka asee, maana hata kwenye F1 hakuna kiwanja kinaruhusu gari kwenda kwa kasi kama Monza.

Anyway weekend hii iliyoisha nilifurahia sana mchuano kati ya Lorenzo na dogo Marques kuwania nafasi ya kwanza, it was breath taking
 
MotoGP's Scott Redding will not appear in Friday's Isle of Man TT parade lap after describing the event as "like a death race" after two riders died.
Bob Price, 65, from Redding's hometown of Gloucester, was killed in an accident during the first Supersport race on 2 June.
Three-time British champion Karl Harris, 34, died in a crash on Tuesday.
Redding, 21, said on Twitter: (external) "This is not racing anymore. It's like a death race. Lost too many friends."
He added: "All the riders that finish are relieved to finish in one piece and see their loved ones.
"The bikes are far too advanced for road racing nowadays. Would you drive your car at 132mph through a village?"
Clerk of the course, Gary Thompson, told BBC Isle of Man: "Scott has his own views, as have many other people, but it's not something that I can comment on as those are his private views.
"I've heard people say that the TT is too dangerous, we are aware that the speed of bikes is getting faster, but each year we carry out a full risk assessment of the whole TT course.
"That includes the prohibited and restricted areas where we restrict officials and spectators from going into the most dangerous parts of the course. This is carried out on an annual basis and is an ongoing improvement throughout the year."
In a statement confirming his withdrawal, Redding paid a special tribute to Price - a close family friend who had been involved in his racing career, which has seen him rise from Moto2 to MotoGP in four years.
"He was one of the few people outside of my immediate family who supported me when I started out racing. I will miss him, as will many others in our racing family," said Redding.
"Then yesterday, we heard the tragic news that Karl Harris had also lost his life. Karl and Bob are both guys that I know and their deaths have hit me harder than I expected. Honestly, I'm devastated.
"And that's why I won't be at the TT on Friday, not because I have anything against the Isle of Man TT, but because I prefer to mourn Bob in the places where I knew him best, not the place where he was taken from us.
"I wish all the competitors on the Island safe racing."
 
TT inatisha! Kuna wakati asasi kadhaa huko UK zilishinikiza kuvutwa kwa hiyo road racing.
 
Jamaa wanakimbia sana asee, kasi wanayokwenda nayo sidhani hata MotoGP huwa wanaifikia
Jamaa wanakimbia kinoma, na lazima wana nidhamu ya aina yake, zaidi unaweza kusema vichwani wamedata.

Bike wanazotumia ni sawa na zile za world superbike championship, then wapo barabarani hakuna line ya kufuata kama kule kwenye circuits, ni ujanja wa rider kuisoma barabara na kukubaliana na kona ka mia mbili, bumps na straight road.

Kosa kidogo ni kukaribia kifo chako!
 
Ukweli Juu ya "The Circuit de Barcelona-Catalunya.

- The last time that Spain did not have at least one GP winner across the three classes at the Catalunya Grand Prix was 2002

- During the four-stroke MotoGP™ era, Yamaha have taken seven victories, Honda have had three wins and Ducati two

- Valentino Rossi is the most successful rider across all Grand Prix classes at the Catalunya circuit with nine victories (1 x 125cc, 2 x 250cc, 1 x 500cc, 5 x MotoGP).

- The next most successful, with four wins each in Catalunya, are Jorge Lorenzo (1 x 250cc, 3 x MotoGP) and Max Biaggi (4 x 250cc)

- There have been seven premier class victories by Spanish riders at the Catalunya circuit: Alex Criville in 1995 & 1999, Carlos Checa in 1996, Dani Pedrosa in 2008 and Jorge Lorenzo in 2010, 2012 & 2013

- There has been at least one Spanish rider on the podium in the MotoGP race at the Catalunya GP for the last seven years

- Only two riders have won the MotoGP race at Catalunya from pole position: Valentino Rossi in 2006 and Jorge Lorenzo in 2010

- Six riders currently racing in the MotoGP class have finished on the podium in the premier class at the Catalunya circuit: Valentino Rossi (10 times), Jorge Lorenzo (5 times), Dani Pedrosa (5 times), Andrea Dovizioso (once), Nicky Hayden (once) and Marc Marquez (once)


Source: Motogp.com
 
Kibunango nilikuwa nafuatilia sana hii motogp lakini kuanguka kwa VSLENTINO ROSSI "donkey" kumenitoa kwenye huu mchezo ila dogo MARQUES anaweza kunirudisha kwenye huu mchezo.....kwenye michezo mingi mimi huwa napenda kuwe na SI UNIT........
 
Last edited by a moderator:
Kibunango nilikuwa nafuatilia sana hii motogp lakini kuanguka kwa VSLENTINO ROSSI "donkey" kumenitoa kwenye huu mchezo ila dogo MARQUES anaweza kunirudisha kwenye huu mchezo.....kwenye michezo mingi mimi huwa napenda kuwe na SI UNIT........

Hahahahhahahahaahahahahahaaaaa, umenifurshisha na hiyo mambo ya SI UNIT

Anyway bwa mdogo Marques ana moto wa hatari , Rossi mwenyewe anamkubali sana na kwa kweli kwa muda sasa hatujaona kipaji kama chake, Pedrosa kaanza kupotea polepole, Lorenzo nahisi ni pikipiki yake haina pace ya kushindana na Honda ya Marques or else nayeye ni bonge la rider
 
Last edited by a moderator:
Kibunango nilikuwa nafuatilia sana hii motogp lakini kuanguka kwa VSLENTINO ROSSI "donkey" kumenitoa kwenye huu mchezo ila dogo MARQUES anaweza kunirudisha kwenye huu mchezo.....kwenye michezo mingi mimi huwa napenda kuwe na SI UNIT........
Mkuu hapo kwenye SI Unit umenifurahisha sana!

By the way SI Unit yangu kwenye MotoGP bado ni VR 46, ila sio utani MM ni moto wa kuotea mbali! Ana speed kwenye straight line na kwenye kona. JL zaidi ya kuweza kuwa mkali wa kubend up to more than 58° degree sasa ameachwa kwa mbali na MM, kwani anaweza kubend zaidi yake na anaweza kuslide katika kona kali, kitu ambacho sio rahisi kukiona kwa VR na JL.

VR 46, sio mkali kwenye qualifications, na hana rekodi nzuri ya pole position, ila ana uwezo wa kuanza katika position yoyote na kuwachase walio mbele yake na hatimae kushinda! Overtake zake utazipenda tu na zitakuweka roho juu!
 
Wakuu Mupoo?

Naona Le Mans inaendelea hapa though sijapata muda wa kuifuatilia, MotoGP nayo haiko mbali kwenye Circuit de Catalunya, madogo wa Moto3 ndio wanaanza hapa

cc; RRONDO Kibunango, Pazi, BelindaJacob Bulldog
Yap.. Moto3 ilikuwa na msisimko kama kawaida yake na hasa katika kutafuta nafasi ya pili... Mdogo wake MM kashinda, hii familia ni noma kwenye MotoGP
 
Yap.. Moto3 ilikuwa na msisimko kama kawaida yake na hasa katika kutafuta nafasi ya pili... Mdogo wake MM kashinda, hii familia ni noma kwenye MotoGP

Safi sana, I hope kutakua na mchuano mkali kwenye MotoGP, Pedrosa kwa mara ya kwanza msimu huu nimemuona anaride like the old Pedrosa we know
 
Namuona Lewis Hamilton kwenye garage ya Yamaha, anasalimiana na Vale na kupiga naye picha ya pamoja then anafanya the same na Lorenzo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom