Ninaomba serikali itueleze inakuwaje kuhusu haya mambo, lakini pamoja na hayo nataegemea kutakuwa na backup (Photocopy) amabzo zinahifadhiwa sehemu nyingie, hivyo sidhani kama limeharibika neno hapa.
Ili Naitaji kikwete ajieleze please kama hilo Jengo limeungua jamani
Damn...!Ili Naitaji kikwete ajieleze please kama hilo Jengo limeungua jamani
Jana usiku nilikuwa natizama channel 10 na walikuwa wanaleta live moto uliokuwa ukiwaka kwenye jengo la Ushirika pale Lumumba Street Dar. Kwa kuwa naishi maeneo ya karibu na hapo nikaamuwa kwenda kujionea live. Nilipofika hapo nilikuta kweli kuna moto mkubwa kwenye hilo Jengo kwa upande wa kushoto (ukiwa lumumba unalitazama hilo jengo) na moto ulikuwa unawaka chini na magari mengi ya zimamoto yalikuwepo hapo na ulinzi mkali wa askari na silaha ulikuwepo hapo. Nilichoshuhudia mimi kwa macho yangu ni kuwa moto ulikuwa ukiwaka upande wa kushoto, chini, na si upande wa kulia juu ambapo ndio ninavyohamu kuwa zipo ofisi za brela. Sikukaa sana, kwa hiyo sijuwi kama waliweza kuudhibiti huo moto usiendelee kufika upande wa kulia wa jengo na kuwa umefika kuunguza ofisi za brela. Mimi nilopokuwepo hapo, hata ile bank ya CRDB iliyopo chini ilionekana kuwa haijashika moto kwa wakati huo. Ilikuwa majira ya saa saba na nusu za usiku na nilikuwa hapo mpaka saa nane za usiku.
..sahihi kabisa!
..na haukuenea sehemu nyingine. kwahiyo BRELA haijaungua na itakuwa vizuri watu wakiacha ku-speculate kuhusu brela na hujuma dhidi yake!
Ni hivi sehemu iliyoungua ni wing ya kushoto ukiwa unaliface jengo la ushirika,huko kuna ofisi mbalimbali za watu binafsi na chuo cha ushirika moshi,upande zilipo ofisi za BRELA na CRDB hakuna moto wowote uliofika bali masizi ya moshi wa moto huo.Na leo hakuna huduma zozote zile kutoka BRELA kwani HAWANA umeme!!Yaani na umuhimu wake wote eti BRELA wanasimama kufanya kazi kwa vile tu standby generator (hata ya kichina) haipo.Nimekuta pale watu wengi sana wako stranded hawajui biashara zo zitaenda vipi kwani BRELA pamefungwa.Just think ni mapato kiasi gani yanapotea leo hii kwa kufungwa kwa BRELA kwa "sababu zilizo(?) nje ya uwezo wao (ukosefu wa UMEME)!!!".
Nimepokea taarifa kuwa Ofisi za Brela zilizopo Dar zimeungua moto. Wenye taarifa zaidi kuhusiana na suala hili tunaomba watujulishe pamoja na extent of damage.
..sahihi kabisa!
..na haukuenea sehemu nyingine. kwahiyo BRELA haijaungua na itakuwa vizuri watu wakiacha ku-speculate kuhusu brela na hujuma dhidi yake!
..mods,
..dotori,
..hiki kichwa cha habari ni vyema kikasomeka "moto wawaka jengo la ushirika,lumumba" au vingine vizuri zaidi.
Jana usiku nilikuwa natizama channel 10 na walikuwa wanaleta live moto uliokuwa ukiwaka kwenye jengo la Ushirika pale Lumumba Street Dar. Kwa kuwa naishi maeneo ya karibu na hapo nikaamuwa kwenda kujionea live. Nilipofika hapo nilikuta kweli kuna moto mkubwa kwenye hilo Jengo kwa upande wa kushoto (ukiwa lumumba unalitazama hilo jengo) na moto ulikuwa unawaka chini na magari mengi ya zimamoto yalikuwepo hapo na ulinzi mkali wa askari na silaha ulikuwepo hapo. Nilichoshuhudia mimi kwa macho yangu ni kuwa moto ulikuwa ukiwaka upande wa kushoto, chini, na si upande wa kulia juu ambapo ndio ninavyohamu kuwa zipo ofisi za brela. Sikukaa sana, kwa hiyo sijuwi kama waliweza kuudhibiti huo moto usiendelee kufika upande wa kulia wa jengo na kuwa umefika kuunguza ofisi za brela. Mimi nilopokuwepo hapo, hata ile bank ya CRDB iliyopo chini ilionekana kuwa haijashika moto kwa wakati huo. Ilikuwa majira ya saa saba na nusu za usiku na nilikuwa hapo mpaka saa nane za usiku.
Wamechoma moto ofisi hizo ili kupoteza ushahidi kuhusiana na makampuni fake ya kifisadi akina ANBEN, KAGODA n.k. Maskini Tanzania inasikitisha sana inafisadiwa kila kona tena na wale wale tuliowamini na kuwapa nafasi za uongozi kumbe ni mafisadi tu!