Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeunguza jengo la Bunge la Afrika Kusini, ambapo taarifa za awali zinaeleza kuwa moto huo ulianzia kwenye moja ya ofisi ndani ya jengo hilo kisha kusambaa mpaka kwenye ukumbi wa Bunge.
Madhara kwa binadamu kutokana na moto huo hakuna mpaka sasa, ambapo vikosi vya zimamoto na uokoaji nchini humo vinapambana kwa ajili ya kuuzima moto huo.
Madhara kwa binadamu kutokana na moto huo hakuna mpaka sasa, ambapo vikosi vya zimamoto na uokoaji nchini humo vinapambana kwa ajili ya kuuzima moto huo.