Moto mkubwa umewaka nyuma ya TRA Mwenge na kuteketeza kabisa vifaa na mali mbambali ziloOkuwemo kwenye vibanda vya biashara.
Kitu kilichonisikitisha ni simu za zimamoto kutokupokelewa haraka kama inavyotakiwa. Hata walipopatikana walichelewa kufika eneo la tukio mpaka wananchi wakaamua kujitosa na kupambana na moto ili usilete madhara makubwa zaidi.
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu tukio la leo. Hivi badala ya kununua madege mengi yanayotumiwa na watanzania wachache kwanini yasinunuliwe magari ya zimamoto ya kutosha na kusambazwa maeneo mbalimbali ya miji ili kuokoa mali za wananchi zisiteketee kwa moto?
Kitu kilichonisikitisha ni simu za zimamoto kutokupokelewa haraka kama inavyotakiwa. Hata walipopatikana walichelewa kufika eneo la tukio mpaka wananchi wakaamua kujitosa na kupambana na moto ili usilete madhara makubwa zaidi.
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu tukio la leo. Hivi badala ya kununua madege mengi yanayotumiwa na watanzania wachache kwanini yasinunuliwe magari ya zimamoto ya kutosha na kusambazwa maeneo mbalimbali ya miji ili kuokoa mali za wananchi zisiteketee kwa moto?