Baada ya wadau wa technologia na TCRA kuhangaika kwa siku kadhaa, baathi ya wadau wamegundua kuwa number iliyotumika possibly niya Finland.
mchakato unaandaliwa kuwasiliana na network za finland kutatua tatizo hili.
asanteni wadua kwa kulivalia njuga. mmmh sasa watakoma....!!!
mchakato unaandaliwa kuwasiliana na network za finland kutatua tatizo hili.
asanteni wadua kwa kulivalia njuga. mmmh sasa watakoma....!!!