Moto wa katiba mpya unawahusu moja kwa moja watawala na watawaliwa. Unahusu haki na usawa wa watu.
Moto huu unahusu utawala bora na mamlaka kwa wananchi.
Moto huu ndiyo ulio pelekea Mh. Mbowe kukaa korokoroni kwa miezi 8. Mbowe ametoka na kazi inapoendelea kupagawa kupo pale pale.
Kwamba inajulikana kuwa Mukandala na watawala wameleta maamuzi kinyemela kuwa katiba mpya iwe baada ya 2025?
Huu si mwendelezo ule ule wa kupagawa?
Chadema, CUF, NCCR na wote tuitakiao mema nchi hii, huu na uwe muda mahsusi wa kuunganisha nguvu.
Tuweke pembeni tofauti zetu tupate katiba mpya kwanza.
Katiba mpya ni sasa.
Moto huu unahusu utawala bora na mamlaka kwa wananchi.
Moto huu ndiyo ulio pelekea Mh. Mbowe kukaa korokoroni kwa miezi 8. Mbowe ametoka na kazi inapoendelea kupagawa kupo pale pale.
Kwamba inajulikana kuwa Mukandala na watawala wameleta maamuzi kinyemela kuwa katiba mpya iwe baada ya 2025?
Huu si mwendelezo ule ule wa kupagawa?
Chadema, CUF, NCCR na wote tuitakiao mema nchi hii, huu na uwe muda mahsusi wa kuunganisha nguvu.
Tuweke pembeni tofauti zetu tupate katiba mpya kwanza.
Katiba mpya ni sasa.