SIM
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 1,795
- 1,300
Ndg J umemtengenezea Mh Rais majibu, je akiwauliza wajumbe wetu maswali yafuatayo majibu yake wanayo? 1: Ujumbe wenu unawakilisha pande zote mbili za Muungano?2: Je Mabadiliko haya ni kwa upande mmoja tu wa muungano?3: Mbona muwakilishi kutoka visiwani simuoni hapa?4; Je Katiba hii ni ya CDM na CCm peke yetu? Vyama vingine vya upinzani wana wawakilishi hapa?5: Je, hii mihimili mitatu ya dola inaingiliana? 6;Kwa nini mawazo haya hamkuyawasilisha bungeni ambapo ninyi CDM mna kinga.
ATAWASIKILIZA LAKINI ATAWAPA HADIDU ZA KUFANYIA KAZI ILI AWEZE KUTEKELEZA MAHITAJI YAO.
Waende kwake kama umoja wenye pande mbili( linawezekana)
Waende kwa umoja wao kama wapinzani(sijui kama litakubalika CDM)
Je tutengue maamuzi ya wabunge kuupitisha muswada (usiangalie itikad
CDM wajiandae na majibu mengi zaidi ya wanavyodhani.
Hivi kweli ww upo tz? Maana cjaona hata swali 1 hapo, inavooneka ww hata hiyo kamati ya chadema huijiwi kamati ina viongoz kutoka pande zote. Hivi ww hukuona maoni ya chadema yaliyowakilishwa bungeni na TINDU LISU, na spika akasema hayo ni mawazo ya LISU?. Hembu jipange upya