MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Jana Jumomosi Kamnda Godbless Lema aliongoza mashambuzi yeye na white Kijenge juu kata ya Kimandolu.
Mazishi makubwa ya kuizika CCM yanatarajiwa kuwa tarehe 16/06/2013 hapa Kimandolu Arusha
Angalia video hapo chini. Katika Video ya kwanza ni baada ya Mh. Lema kuwahutubia wananchi wa Kijenge juu ndipo Landcruiser Pick up yenye bendera kubwa mbili kubwa za CCM nia picha ya mgombea wa CCM ikakatiza katikati ya mkutano na ikapita bila hata kuguswa kuonyesha kwamba CDM ni watu wa amani siku zote.
[video=youtube_share;dYSLEoFJEK 0]http://youtu.be/dYSLEoFJEK0[/video]
[video=youtube_share;LdK8IKaNfo0]http://youtu.be/LdK8IKaNfo0[/video]
[video=youtube_share;AkG8sPTlwgY]http://youtu.be/AkG8sPTlwgY[/video]
Mazishi makubwa ya kuizika CCM yanatarajiwa kuwa tarehe 16/06/2013 hapa Kimandolu Arusha
Angalia video hapo chini. Katika Video ya kwanza ni baada ya Mh. Lema kuwahutubia wananchi wa Kijenge juu ndipo Landcruiser Pick up yenye bendera kubwa mbili kubwa za CCM nia picha ya mgombea wa CCM ikakatiza katikati ya mkutano na ikapita bila hata kuguswa kuonyesha kwamba CDM ni watu wa amani siku zote.
[video=youtube_share;dYSLEoFJEK 0]http://youtu.be/dYSLEoFJEK0[/video]
[video=youtube_share;LdK8IKaNfo0]http://youtu.be/LdK8IKaNfo0[/video]
[video=youtube_share;AkG8sPTlwgY]http://youtu.be/AkG8sPTlwgY[/video]