Mkuu CDM tumeshinda pingamizi kwa mkurugenzi wa jiji...uwanja uko huru na makamanda tumeshaingia kazini kitambo..Kata itakomboleka mkuu wala usihofu.
karibu sana jamvini ila hapa unashauriwa kuongea ukweli daima majungu, uongo ni mwiko humuI love chadema, huku arumeru wakishinda ccm naanza mgomo wa kuto kula bila kikomo
I love chadema, huku arumeru wakishinda ccm naanza mgomo wa kuto kula bila kikomo
kuwa ccm ni lazima uwe kama mwendawazimu fulani kwa sababu hutaeleweka kwa mambo yanayofanywa nao hao ccm.Are you really a great thinker? If the answer is YES, give reason for your arguments. Sio kusema chama cha magamba kitaendelea kutamba hadi mwisho wa dunia, KIKWETE anakulipa kiasi gani kwa kushabikia ujinga? Umeachwa sana. Tena bora hata ungelikuwa unajua kuwa upo nyuma, mbaya zaidi haufahamu kama wakati hauko upande wako tena..... very soory, utashtka tumefika MAGOGONI.PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEESSSSSSSSSSSS..... POWERRRRRRRRRR...NDIYO MTINDO WA KISASA......!!!
Aisee endelea kutuja habari za Mwanza mpaka siku ya Uchaguzi, namjua sana Jack Masamaki hana uwezo wowote alikuwa anamtegemea sana mshkaji wangu anaitwa Bernard Costantine sema Jack ni mshkaji kinyama wa Ridhwani na Costantine Kanyasu maana nilikutana nao hapa ofisini wanafuatilia issue za kuvua....afu mshkaji shule hana kabisa.
Danny Kahungu najua ana uwezo sana na ana dhamira ya kuendeleza pale Kirumba afu ni mwanamapinduzi wa ukweli,,,,mpeni sapoti mshkaji aisee.
Afu Jack anamaindisha sana masuala ya ndumbam hata familia yake wanamjua ashawatemesha life washakaji kibao katika harakati zake za kutafuta utajiri,,,mambo yamemgeuka kageukia politics,,,,nadahani ndo ile stori kuwa mbwa akitaka kufa anabweka sana,,,,ngoja amalizie mihela yake kwa kuhonga maana naamini Kirumba hapati kitu....mwenyewe nitatia maguu mwezi huu katikati nimpe sapoti mshkaji wa CDM
LONG LIVE CHADEMA, LONG LIVE DANNY KAHUNGU, LONG LIVE WAPAMBANAJI
Ng'wana sweke,
Tunapanga ratiba ya kutia timu huko na makamanda wengine,tutakuwa na mwenyekiti wa Bavicha Geita kamanda Otto,pia tunamalizia kazi tuje na Diwani wa viti maalum kata ya Kagu dada Marceline simbasana na makamanda wengine.
CCM watake wasitake Kirumba ni ya Chadema na ole wao wajaribu kuleta mchezo mchafu,wajifunze tulichowafanyia wenzao wa jimbo la Ubungo
Ni majambazi sugu!!Mashariki, Magharibi, kusini na kaskazini bado CCM ni Imara na itaendelea kuwa Imara mpaka mwisho wa dunia.