asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,028
fichua mafisadi ,Chadema mwendo mdundo
totesha mafisadi,
poteza mafisadi.
maliza mafisadi.
fichua mafisadi ,Chadema mwendo mdundo
Mkubwa lugha ya Watu hii.[/QUOTE]Dont let em do what they "have doing" for the past 45 and "above years"
Ni muhimu kwa WTZ kujiepusha na hichi chama chenye misingi ya kugawa nchi Kiudini na Ukabila. Udini uliopo Chadema ni wa kipingwa na siyo kushangiliwa. TZ turudini kwenye maadili yetu. Padre Slaa ni kiongozi wa Wakatoliki mwenye agenda mbaya dhidi ya Waislamu.
Mada hapa ni moto wa Chadema kuhamia nyanda za juu masuala ya udini ni yenu na mwenyekiti wenu.Ni muhimu kwa WTZ kujiepusha na hichi chama chenye misingi ya kugawa nchi Kiudini na Ukabila. Udini uliopo Chadema ni wa kipingwa na siyo kushangiliwa. TZ turudini kwenye maadili yetu. Padre Slaa ni kiongozi wa Wakatoliki mwenye agenda mbaya dhidi ya Waislamu.
Ni muhimu kwa WTZ kujiepusha na hichi chama chenye misingi ya kugawa nchi Kiudini na Ukabila. Udini uliopo Chadema ni wa kipingwa na siyo kushangiliwa. TZ turudini kwenye maadili yetu. Padre Slaa ni kiongozi wa Wakatoliki mwenye agenda mbaya dhidi ya Waislamu.
anaweza akaja,asivyo na aibu,Hivi JK anaweza kwenda Mbeya, Arusha au Mwanza?
Chadema kimepanga kuanza kuanza ziara ya Operesheni Sangara katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Bunge la April.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, amesema wabunge wote na viongozi wa juu wa chama hicho wataweka kambi mkoani Mbeya hivi karibuni kwa ajili ya kuendelea kuhamasisha umma kujiunga na chama hicho.
Amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye maandamano na mikutano hiyo mara itakapoanza, Operation hiyo itahusisha mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, na Rukwa.
Hii ni awamu ya pili ya mwendelezo wa Operation hiyo iliyobuniwa na chama hicho baada ya kupata mafanikio makubwa kwenye maandamano na mikutano iliyomalizika hivi karibuni katika kanda ya Ziwa ikihusisha mikoa ya Mwanza, Mara, Shinyanga na Kagera.
Naomba tuwaunge mkono kwa sababu madai wanayozungumzia karibu yanamgusa kila mtu, hata baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo aliyekuwa waziri mkuu Fredrick Sumaye, Chrisant Mzindakaya na kada wa siku nyingi Balozi Paul Ndobho wameanza kukiona umuhimu wa harakati hizi za Chadema.
Naomba kuwasilisha.
Ni muhimu kwa WTZ kujiepusha na hichi chama chenye misingi ya kugawa nchi Kiudini na Ukabila. Udini uliopo Chadema ni wa kipingwa na siyo kushangiliwa. TZ turudini kwenye maadili yetu. Padre Slaa ni kiongozi wa Wakatoliki mwenye agenda mbaya dhidi ya Waislamu.