Marekani imekumbwa na janga la moto,moto umbao hadi sasa umeunguza ekari 3.5 millioni na kuua mtu mmoja kwenye jimbo la TEXAS,moto huo kwa leo umeingia kwenye eneo la ekari 25,000,inasemekana kuwa unaambatana na upepo mkaali unaosababishwa na kimbunga cha LEE,,,,,,,
MY NOTE:Amerika ni taifa kuubwa duniani lakin moto huu unaonekana ni changamoto kwao maana haujaanza leo wala jana wala juzi,,,,,,,,
MY NOTE:Amerika ni taifa kuubwa duniani lakin moto huu unaonekana ni changamoto kwao maana haujaanza leo wala jana wala juzi,,,,,,,,