Kwanza kikao kilichelewa kuanza kwasababu Mwenyekiti alichelewa kuwasili. Kimeanza. Watu wa upande wa Zitto wameomba Mwenyekiti Mbowe asiwe mwenyekiti wa kikao kwasababu ameonyesha dhahiri kwamba hayupo neutral. Makamu wa Mwenyekiti ndiye Mwenyekiti wa kikao hadi sasa. Nitawaletea habari kadri ninavyotumiwa text kutoka ndani ya kikao.
Shetani wenu.
Ujue njia ya mwongo ni fupi!
Mbowe alichelewa kufika, alifika kikao kimeisha pita hoja ya Zitto, iweje tena Wamkatalie kuwa mwenyekeiti wa kikao ambacho hakuwepo kwanza? na pili alikuwa hajafika hata kutoa maoni yake wakajua yuko upande gani?
Shetani wewe shindwa kabisa!