real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Watu wasiojulikana wanadaiwa kuchoma moto soko la jiji la Lusaka. Moto huo umeanza saa 10 na nusu asubuhi ya jana na ulikuwa ukienea hadi 12 asubuhikwenye masaa ya Zambia
Wafanyabiashara na wateja waliangalia mali zao zikiungua bila kujua la kufanya
Haijawa wazi moto huo umeanzaje, sehemu kadhaa za mjini Zambia zimekuwa zikishambuliwa na polisi wameyaita mashambulizi hayo kama hujuma za kiuchumi
Chanzo: Lusaka Times
Wafanyabiashara na wateja waliangalia mali zao zikiungua bila kujua la kufanya
Haijawa wazi moto huo umeanzaje, sehemu kadhaa za mjini Zambia zimekuwa zikishambuliwa na polisi wameyaita mashambulizi hayo kama hujuma za kiuchumi
Chanzo: Lusaka Times