Moto Mbeya: Yule Polisi kwa nini?

Majoja

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
612
186
Tumeona janga lingine la moto kwenye soko la Sido Mwanjelwa Mbeya mjini. Kwenye luninga ITV jana jioni na leo asubuhi sote tumeona kilichotokea. Kilichonisikitisha sana ni kitendo cha askari aliyevaa kiraia akimrukia kwa teke la ninja mtuhumiwa ambaye tayari alikuwa amwekwa chini ya ulinzi. Mtuhumiwa huyu alikuwa amezungukwa na askari karibu wanne na mara kutoka kusiko julikana anatokea huyu askarai anamrukia mtuhumiwa.

Cha kusikitisha zaidi askari wengine badala ya kufuata sheria wanaingilia na kumpiga mtuhumiwa kwa mateke ngumi nakadhalika.
HILI NI KOSA LA JINAI. ITV inaoneka sehemu nyingi tu duniani na natumaini hata wakuu wa Polisi wameona hili. Hatua lazima zichukuliwe.

Naomba kutoa hoja.
 
Hao ndio polisi, jeshi la polisi ambalo ndio serikali ya ccm imelitengeneza na kulifanya hivyo lilivyo.
Miaka hamsini ya uhuru wa utovu wa nidhamu wa jeshi la polisi. Miaka hamsini ya ukiukwaji wa haki za binadamu, 50 yrs ya jeshi la polisi kuua raia bila kuhojiwa wala kushtakiwa.

hiyo ndio ccm haswa mnayotakiwa kuifahamu.
 
Elimu ndogo nayo inachangia..wengi wao ni std 7 walofoji vyeti..
 
Polisi wanaiba na vibaka wanaiba, polisi wanapozidiwa ujanja ni kutumia nguvu ili kutengeneza mazingira mazuri ya wao kuiba. Baada ya kushindika polisi waliamua kusimamia vibanda vyote viteketee mota.
 
Inaelekea elimu ya utawala bora inaishia kwenye semina za kina IGP Mwema na maofisa wengine.
Huko chini sheria haijulikani ni nini
 
Tumeona janga lingine la moto kwenye soko la Sido Mwanjelwa Mbeya mjini.
Kwenye luninga ITV jana jioni na leo asubuhi sote tumeona kilichotokea. Kilichonisikitisha sana ni kitendo cha askari aliyevaa kiraia akimrukia kwa teke la ninja mtuhumiwa ambaye tayari alikuwa amwekwa chini ya ulinzi.
Mtuhumiwa huyu alikuwa amezungukwa na askari karibu wanne na mara kutoka kusiko julikana anatokea huyu askarai anamrukia mtuhumiwa.
Cha kusikitisha zaidi askari wengine badala ya kufuata sheria wanaingilia na kumpiga mtuhumiwa kwa mateke ngumi nakadhalika.
HILI NI KOSA LA JINAI.
ITV inaoneka sehemu nyingi tu duniani na natumaini hata wakuu wa Polisi wameona hili.
Hatua lazima zichukuliwe.
Naomba kutoa hoja.

Ni tatizo la kisaikolojia,wana maisha magumu,posho ni kutokana na rushwa tu,mishahara haitoshi,wako bize kuonyesha kazi yao ni nzuri na inalipa wakati sio,hawajui wamlilie nani,wanaishi na hasira na msongo wa mawazo kila siku,huishi wakitafuta wapi pa kupunguzia hasira zao,ghafla wanakutana na mtuhumiwa then wanapata faraja kwa kumpiga ili kupunguza hasira zao.MUNGU IBARIKI TZ
 
Ni tatizo la kisaikolojia,wana maisha magumu,posho ni kutokana na rushwa tu,mishahara haitoshi,wako bize kuonyesha kazi yao ni nzuri na inalipa wakati sio,hawajui wamlilie nani,wanaishi na hasira na msongo wa mawazo kila siku,huishi wakitafuta wapi pa kupunguzia hasira zao,ghafla wanakutana na mtuhumiwa then wanapata faraja kwa kumpiga ili kupunguza hasira zao.MUNGU IBARIKI TZ
Umenena! Ingawa polisi duniani kote mishara si mikubwa ila nchi nyingi zilichofanya ni kupunguza gap! Na lingine tatizo la bongo polisi wengi ni std 7 a.k.a LY wa enzi zile je sasa tukifikiria mishara yao tufanyeje?
 
Ni tatizo la kisaikolojia,wana maisha magumu,posho ni kutokana na rushwa tu,mishahara haitoshi,wako bize kuonyesha kazi yao ni nzuri na inalipa wakati sio,hawajui wamlilie nani,wanaishi na hasira na msongo wa mawazo kila siku,huishi wakitafuta wapi pa kupunguzia hasira zao,ghafla wanakutana na mtuhumiwa then wanapata faraja kwa kumpiga ili kupunguza hasira zao.MUNGU IBARIKI TZ
Bwana mukubwa Nkwesa Makambo, nakubaiana na wewe lakini kitendo cha kumpiga mtuhumiwa AMBAYE YUKO CHINI YA ULINZI NI KITENDO CHA KIHUNI.
Natumaini IGP Mwema naye amiona hiyo picha toka stting room yake na naomba achukue hatua za kinidhamu juu ya hili.
 
Bwana mukubwa Nkwesa Makambo, nakubaiana na wewe lakini kitendo cha kumpiga mtuhumiwa AMBAYE YUKO CHINI YA ULINZI NI KITENDO CHA KIHUNI.

Natumaini IGP Mwema naye amiona hiyo picha toka stting room yake na naomba achukue hatua za kinidhamu juu ya hili.

Kile kitendo kimesitikisha watu wote wanajua haki za binadamu....naungana na wote kulaani kile kitendo kwa nguvu zote, kama inawezekana aliejeruhiwa anastahili kufungua mashtaka na ushahidi upo wazi itv
 
Ni washenzi tena washenzi wavuta bangi wakubwa na wahuni wale, hawana tofauti na genge la majambazi, niliumia sana maana juzi iliripotiwa kuwa walimpiga bibi kizee na kumpora tena maskini wa MUNGU alikua nyumbani kisa wanadai eti kahusika kwenye maandamano! Narudia tena ni washenzi na siku ni afadhali kujilipua nife kuliko kuona dhuluma ile, nilishindwa kuangalia matukio yale, je vipi kwa yale ambayo hayajaripotiwa??? Ni mangapi? ni wangapi wanafia mikononi mwao? I hate them to death!
 
Tumeona janga lingine la moto kwenye soko la Sido Mwanjelwa Mbeya mjini. Kwenye luninga ITV jana jioni na leo asubuhi sote tumeona kilichotokea. Kilichonisikitisha sana ni kitendo cha askari aliyevaa kiraia akimrukia kwa teke la ninja mtuhumiwa ambaye tayari alikuwa amwekwa chini ya ulinzi. Mtuhumiwa huyu alikuwa amezungukwa na askari karibu wanne na mara kutoka kusiko julikana anatokea huyu askarai anamrukia mtuhumiwa.

Cha kusikitisha zaidi askari wengine badala ya kufuata sheria wanaingilia na kumpiga mtuhumiwa kwa mateke ngumi nakadhalika.
HILI NI KOSA LA JINAI. ITV inaoneka sehemu nyingi tu duniani na natumaini hata wakuu wa Polisi wameona hili. Hatua lazima zichukuliwe.

Naomba kutoa hoja.

I dont think your fair at all! kipigo unachokisema na lawama unazotaka kusema hujaangalia kwa upande wa pili namna ambavyo vibaka hao walipelekea zoezi lenyewe kuwa gumu katka kuzima moto. kwa lugha rahisi, mwenendo uliojitokeza kwa baadhi ya watu asilimia kubwa wa kuthubutu kuiba na wakati huo huo kufanya zoezi la kuzima moto kuwa gumu ni uhaini tena ni kiashiria kitakachopelekea soko lingine kuchomwa tena ili waweze kujichukulia mali za watu kwa kupora. niwaombe enyi wapigania haki za wahalifu kwa madai ni haki za binadamu mkumbuke hata siku moja mtu/binadamu hawezi kuwa na majina mawili yaani mhalifu/mwizi na wakati huo huo ukamwita binadamu. lakini pia kumbuka umeona kwenye tv tu na unajenga hoja na siye tuliopokonywa na kunyanganywa mali zetu kimachomacho tutafika wapi? ambao kwa sasa tunakazi ya kuwatafuta wanyanganyi wetu ili tuwakate vichwa?
 
Polisi wanaiba na vibaka wanaiba, polisi wanapozidiwa ujanja ni kutumia nguvu ili kutengeneza mazingira mazuri ya wao kuiba. Baada ya kushindika polisi waliamua kusimamia vibanda vyote viteketee mota.

mmm? kweli pana kazi hajo inajadiliwa na watu kana kwamba iwalikuwepo na waliona kilichokuwa kinaendelea? wenzenu vibaka walituumiza vibaya na kama kundi mliloliona kwenye televisheni wasingekuja zoezi la kuzima lilikuwa rahisi sana. sisi wafanyabiashara tunalaumu jeshi la polisi kwanza kwa kushindwa kuwadhibiti raia na vibaka kuingia sokoni, na kusababisha msongamano mkubwa wa bila sababu na kupelekea zimamoto na kushindwa kufanya kazi kirahisi na mbaya zaidi hata namna ya kuokoa mali zetu kushindikana kwani ukitoa nje wao wanafaulisha, ukipakia kwenye gari wananyanganya, na mbaya zaidi hata ambako moto haujafika walithubutu kuvunja makufuli, mfano ni huyo jamaa aliyepigwa na polisi kwa kupora mali za watu.
 
Back
Top Bottom