Eng jamaa maandiko yake mengi ni kutuponda sana wanaume ana chuki za wazi sana na jinsia ya kiume
Sasa unafikiri atawapataje wanawake bila kutuponda wanaume? Mpinzani wako si unamuombea njaa ili njia iwe nyeupee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eng jamaa maandiko yake mengi ni kutuponda sana wanaume ana chuki za wazi sana na jinsia ya kiume
Nyoko kabisa huyoNdi wanao haribu ndo zetu kaka!!huyo mauki ni malaya mbwa tuna mstay tu
Na pia kwa nini hawa jamaa wanaojifanya wanashauri sana mambo ya ndoa, huwa ndoa zao zimewashinda au zinawashinda ni kwa nn????Sijapata kuona watu wanaotekwa kijinga na hao wanaharakati kama wanawake. Huko kote wanakokimbilia hakuna msaada zaidi ya kutapeliwa na kina chrisMauki, manabii na wengine kama kina Irene mbowe. Hawa ndoa zao ziliwashinda wakabaki kuigiza ili wApige pesa sasa kama akili zako ni butu utajiju .wanaume tusikubali wake zetu wakimbizane na haya matukio tutafilisiwa kama umesoma vizuri hakuna haja ya kwenda huko wajinga wasiojielewa ndio wamekaa kule
Mauki na yeye ana adui?!!!Bado Nitaendelea kumtetea Mauki. Mauki popote ulipo fahamu kwamba kuna watu bado wanasimama na wewe. Hii ni vita itapita, umeteleza kidogo wabaya wako wamepata upenyo wa kukudhihaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua kuwa Mitafaruku ikianza. Wake zetu ndo watakimbilia kwake hawape maneno hayo.na wamchangie izo buku30.Mauki anachochea mitafaruku ndani ya ndoa zetu ......shenz kabisa
Ana elimu nzuri tu sema njaa anachonganisha ndoa makusudi ili apate wateja wanawake kwenye semina zakeMtu anasomea phd ya ukungwi unafikir ataharibu nn!
Kwa kweli hata mm nawashangaa baadhi ya wanawake wenzangu sijui wanawapendea nini. Wakisikia warsha wapo sijui semina sijui mafunzo ya kukata kiuno wapo lol. Mwalimu mzuri ni mume wako usipomuelewa huyo hao wa nje ni bure.HALAFU KINACHOUMIZA ZAIDI WANAWAKE WENGI WAMESHIKWA AKILI NA HAO JAMAA, INAUMIZA SANA
Mkuu hapo umezengua usikashifu mtu kwa sababu ta maumbile ,aliyeumba ndoo anajua kwanini aliumba hivyo.Right Mungu akupa huo uwezo wa kuumba sijui ingekuwaje.Muheshimu Mungu kwa kazi yake ya umbaji na kumbuka bado upo haiHuyo mauki ni mchumia tumbo,ukikutana nao na mkewe mfupi kama vicks ya chapa shoka
Mkuu Mungu akubariki wewe na ndoa yakoMimi si wongo mke wangu ana kipato kizuri kuliko mimi kutokana na elimu yake na kazi nzuri anayoifanya alinipenda kutokana na personality niliyonayo ucheshi na hofu kwa mungu.Sisi ni walokole.
Huyu mama hajawahi kuninyanyasa hata siku moja na anasaidia sana upande wa ndugu zangu.
Kumcha mungu ni maarifa na kufuata mungu anayotuasa ni maarifa makubwa.
Mimi kuna vimiradi vidogo vidogo nasimamia nyumbani mke wangu anapokwenda kazini akipata mshahara ananionyesha tunapanga pamoja hata akipata bonus ya kazini ananionyesha.
Je mi ni kapuku mbele ya mke wangu?
Mara vuupu anatokea mtu anaitwa motivational speaker ananiponda utafikiri yeye ndio malaika wa ndoa imara sababu tu kajaliwa kuongea kabla hujamnyooshea mwenzio kidole angalia na wewe dole gumba linakuangalia.
Nimemuonyesha mama watoto wangu message ya huyu jamaa amesikitika sana akasema huyu jamaa anaharibu ndoa za watu hasa wakisoma wanawake wasio na uwezo wa kufikiri.
Kwa pamoja tumeamua kum unfollow kwenye mitandao yote aheri motivational speaker mchungaji.
Ajira hakuna ndio maana watu wa aina yake wanajitokeza
Umeongea kwa uchungu sanaAndiko la Dkt. Chris Mauki kuwa wanaume wanaosema kwa familia zao zimewavulimilie kuwa watapata pesa baada ya mchongo fulani ni wasanii Imenifedheesha sana yeye kwa sababu anapata salary pale UDSM, anawatapeli wake zetu na kuwala pia maana pia hii ni kashfa yake kubwa jamaa, huwa anatumia advantage ya ku-solve shida za kina mama kuwamega!
Kwanza nchii watu wengi ridhiki zao ziko miguuni hata waliojariwa kipato hakitoshi ndio maana wanategeme mishongo kama safari, vikao, warsha kusongesha familia zao, hata mimi mzese alikuwa ananiambia ngoja nitoke kazini nitakupa kitu fulani, ni kawaida tu ila yeye katumia jukwaa lake kuharibu ndo za watu, ili kuwafurahisha wateja zake, hajuii hata hizo buku 30k za semina zake huwa zinalipwa na hao wasanii.
Motivational speaker wengi ni warubuni ndio maana ndo zao zinawashinda kama Jocye Kiria. Wengine walikamatwa na madawa ya kulevya ili hali huwa wanaonyesha kuwa mafanikio ni kupitia saving ya vibubu. Huyo Dkt. Chris Mauki atutake radhi wanaume maana tunapigama sana kisa familia, ndio maana jela tumejaaa, hospitali sisi hata kufa tunakufa kwa wingi kisa stress za familia!