Sisi kipimo chetu EPL tu watu wamechanja wanajaza viwanja hakuna barakoa hiyo dalili njema maisha yamerudi,Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.