#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

Swali lina makosa ya kimantiki, hata jibu litakosa mantiki na maana.

Ni kama nikikuuliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?

Unaniambia swali lina makosa, wimbo hauna rangi, una sauti.

Sitaki kusikia, nashikilia tu, jibu swali.

Rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?

Jibu swali.
Wimbo wa taifa hauna rangi, nimeshakujibu, haya, na wewe jibu swali langu
 
Tatizo tunatofautiana katika kuthamini maisha ya mtu. Nchi imefiwa mpaka na rais wewe unaona jambo dogo tu hilo.

Kwa sababu wewe mbinafsi hujali wengine, ukiwa hai wewe tu unaona poa.

Hili tatizo ndilo linatufanya tuwe masikini, hatujaliani, kila mtu anajijali mwenyewe kwa kiasi kikubwa sana.

Wazee na watu wenye magonjwa makubwa wanakufa sana, lakini wewe inaonekana humo kwenye makundi yao, tena unaweza kusema ni sawa tu wafe.

Nikikwambia nikupige risasi ufe kwa sababu vifo vya risasi Tanzania si vingi kama vya Malaria utakubali?
Sasa raisi asife yeye hana roho
Mnadanganywa na wafanya biashara wapate watakavyo.huku hamna hiyo athari kama ya huko.
wazee wapo tunakunywa nao kahawa vijiweni kwao.

Hafu usijione wewe unamudu bajeti ya kula myaka 3 ukaamini wote wapo hivyo kuna wasiojua kesho yao na ndo wengi ulimwenguni acha tuishi kwa kubahatisha wewe una akili sana ishi kwa mipango
 
Sasa raisi asife yeye hana roho
Mnadanganywa na wafanya biashara wapate watakavyo.huku hamna hiyo athari kama ya huko.
wazee wapo tunakunywa nao kahawa vijiweni kwao.

Hafu usijione wewe unamudu bajeti ya kula myaka 3 ukaamini wote wapo hivyo kuna wasiojua kesho yao na ndo wengi ulimwenguni acha tuishi kwa kubahatisha wewe una akili sana ishi kwa mipango
Kwani wapi nimesema rais asife?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Nifundishe.
Umemaanisha nini unaposema nchi imefiwa mpaka raisi?

Raisi hakufa kwa Corona ugonjwa uliomuua ulitangazwa
Ilitagazwa pia kwamba rais mzima haumwi anachapa kazi, wiki haikupita akafa, unaamini maneno ya hii serikali iliyojaa uongo?

Unapoandika Rais hakufa kwa Corona, ugonjwa uliomuua ulitangazwa, unaelewa kwamba Corona si ugonjwa?

Kijazi alikufa kwa nini? Maalim Seif alikufa kwa nini?
 
Ilitagazwa pia kwamba rais mzima haumwi anachapa kazi, wiki haikupita akafa, unaamini maneno ya hii serikali iliyojaa uongo?

Unapoandika Rais hakufa kwa Corona, ugonjwa uliomuua ulitangazwa, unaelewa kwamba Corona si ugonjwa?

Kijazi alikufa kwa nini? Maalim Seif alikufa kwa nini?
wewe baki kwa mabeberu tuachie nchi yetu sisi huku ni kazi na bata we nawisha wazee huku siku ukiludi utajikuta umepoteza muda sana kwenye baridi huko
 
wewe baki kwa mabeberu tuachie nchi yetu sisi huku ni kazi na bata we nawisha wazee huku siku ukiludi utajikuta umepoteza muda sana kwenye baridi huko
Wacha ujinga wa habari za mabeberu.

Kama unataka kuanza habari hizo na wewe toka kwenye internet ya mabeberu katengeneze yako na bibi yako ya mbao, halafu anzisha herufi zako hizi unazotumia za mabeberu.

Unajua SSL ni ya mabeberu? Unajua DAROA iliyoanzisha internet ni ya mabeberu?

Si unajitia ujinga wa "mabeberu"?

Wacha kutunyeshea uharisho hapa wewe.
 
so wakifanya haya iyo variant mpya haiwezi kufanya mutation
Dada,
Kuafuta njia za kujikinga na magonjwa yeyote haihusiani kabisa na mutation ya magonjwa
Mutation ni nini?
Hata sasa hivi ninavyo kujibu mutation inatokea kwa bacteria, fungi and virus including covid19
Kasi ya kuzaliana ya hizi micro organism ni ya speed kubwa kwa saa, kwa dakika, na kwa sekunde
Mutation ni mabadiliko(replication error in micro organism) kuzaliana ya kibaiologia(DNA) yanasababisha kuwa na utofauti na kiini asilia(original cell),

Huu utofauti au mabadiliko(mutation) yanaweza kusababisha hawa kwa mfano CORONA VIRUS kuwa mfu na hawawezi kushindana na kinga ya mwili pekee inawamaliza, au kuwa na nguvu za kushinda nguvu za mwili kujikinga na pia kuishinda mechanism ya chanjo au hata dawa ya matibabu kwa
 
Nikuulize sasa, huku mnakodai hatufuati njia za kisayansi, reproductive number yetu ni mbaya zaidi ya kwao?
Sasa utajuaje hiyo reproductive number yenu , kama hamkusanyi data za ugonjwa?
Nipe data zilizokusanywa Tanzania za Covid19
Au yule mfu alisema hakuna kukusanya data hapa, Tanzania hakuna Covid19
Je Tanzania kuna Covid19 au hakuna?
Kama hakuna, basi umeshinda.....
 
By Antony Sguazzin, 26 March 2021, 17:34 EAT

The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country that has largely ignored the pandemic.

A report submitted to the World Health Organization and regional bodies shows the strain has 10 more mutations than found on any other version, according to Tulio de Oliveira, director of Krisp, a scientific institute that carries out genetic testing for 10 African nations. Krisp, which discovered a new strain in South Africa last year that propelled a resurgence of infections in the country, found the new variant in travelers arriving in Angola from Tanzania.

“It is potentially of interest,” de Oliveira said in an interview on Friday.

Variants of the coronavirus have caused concern globally as, for instance, the one first identified in South Africa known as 501Y.V2 has proven more infectious and able to more easily evade some vaccines. Still, no work has been done yet on the version found in three Tanzanian travelers to ascertain whether it is more infectious or severe than other strains.

The newly discovered version will be grown at laboratories at Krisp and an attempt will be made to ascertain how easily it evades antibodies, de Oliveira said. The variant comes from a lineage of the virus first identified in China, whereas many others trace their roots to Europe.

Under recently decesased President John Magufuli, Tanzania stopped releasing data on coronavirus infections and opened up the economy including the resort island of Zanzibar, which attracts international tourists. Magufuli’s stance attracted criticism from neighbors and the WHO as anecdotal evidence suggested many people in the country have contracted the disease.

His successor, Samia Suluhu Hassan, has yet to indicate whether she will change his policies.

“This may be a big wake up call to Tanzania,” de Oliveira said.

Source: Most Mutated Covid-19 Variant Yet Found in Tanzania Travelers and Covid variant with most mutations discovered in Tanzania travellers
Wanasayansi waneleze, kama ni kweli, nini reasons za kuwa na mutants mpya hapa kwetu. Labda sababu ni hizi:
1. Kirusi kilitengenezwa na kukadiliwa kuishi vema chini ya hali maalum ya hewa, body PH, ET CETERA. Sasa kwa tanzania huenda vitu hivyo ni tofauti na hali lengwa, hivyo, kirusi kina survive pale tu ambapo kimemudu hali iliyopo TZ. Hii inaweza kuwa ni neema maalum tuliyotunukiwa na Mungu.

2. Mutants wanaweza kuwa wametokea because of body treatment tulizofanya;
Kujifukiza mitishamba, lishe bora, mitishamba (covidol, nimricaf, shekilindi, bupig, synadol. Name them). Hivyo, kirus kikifanikiwa kupenya kinakutana na un anticipated body condition na hivyo physiology yake kubadilika.

3. Inawezekana huu ni uongo. Wanatutekenya ili tupate uoga na tukubali mashart yao, hii ni sababu mitation ya living organism huchukua miaka mingi kutokea
 
Dada,
Kuafuta njia za kujikinga na magonjwa yeyote haihusiani kabisa na mutation ya magonjwa
Mutation ni nini?
Hata sasa hivi ninavyo kujibu mutation inatokea kwa bacteria, fungi and virus including covid19
Kasi ya kuzaliana ya hizi micro organism ni ya speed kubwa kwa saa, kwa dakika, na kwa sekunde
Mutation ni mabadiliko(replication error in micro organism) kuzaliana ya kibaiologia(DNA) yanasababisha kuwa na utofauti na kiini asilia(original cell),

Huu utofauti au mabadiliko(mutation) yanaweza kusababisha hawa kwa mfano CORONA VIRUS kuwa mfu na hawawezi kushindana na kinga ya mwili pekee inawamaliza, au kuwa na nguvu za kushinda nguvu za mwili kujikinga na pia kuishinda mechanism ya chanjo au hata dawa ya matibabu kwa
aione kwenye faili kiranga na wanazi wenzake
 
Sasa utajuaje hiyo reproductive number yenu , kama hamkusanyi data za ugonjwa?
Nipe data zilizokusanywa Tanzania za Covid19
Au yule mfu alisema hakuna kukusanya data hapa, Tanzania hakuna Covid19
Je Tanzania kuna Covid19 au hakuna?
Kama hakuna, basi umeshinda.....
Sasa kama hamjui chochote kuhusu sisi, kelele za nini? Mnapiga kelele kwa data zipi?!
 
By Antony Sguazzin, 26 March 2021, 17:34 EAT

The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country that has largely ignored the pandemic.

A report submitted to the World Health Organization and regional bodies shows the strain has 10 more mutations than found on any other version, according to Tulio de Oliveira, director of Krisp, a scientific institute that carries out genetic testing for 10 African nations. Krisp, which discovered a new strain in South Africa last year that propelled a resurgence of infections in the country, found the new variant in travelers arriving in Angola from Tanzania.

“It is potentially of interest,” de Oliveira said in an interview on Friday.

Variants of the coronavirus have caused concern globally as, for instance, the one first identified in South Africa known as 501Y.V2 has proven more infectious and able to more easily evade some vaccines. Still, no work has been done yet on the version found in three Tanzanian travelers to ascertain whether it is more infectious or severe than other strains.

The newly discovered version will be grown at laboratories at Krisp and an attempt will be made to ascertain how easily it evades antibodies, de Oliveira said. The variant comes from a lineage of the virus first identified in China, whereas many others trace their roots to Europe.

Under recently decesased President John Magufuli, Tanzania stopped releasing data on coronavirus infections and opened up the economy including the resort island of Zanzibar, which attracts international tourists. Magufuli’s stance attracted criticism from neighbors and the WHO as anecdotal evidence suggested many people in the country have contracted the disease.

His successor, Samia Suluhu Hassan, has yet to indicate whether she will change his policies.

“This may be a big wake up call to Tanzania,” de Oliveira said.

Source: Most Mutated Covid-19 Variant Yet Found in Tanzania Travelers and Covid variant with most mutations discovered in Tanzania travellers
It's a f****ing wake up call to the world. This shit is unstoppable. Just live with it. If it's about dying. We will all die. Why keep on selling fake hope! !!
 
Name kama hiyo mutated version of the virus ni hatari ki hivyo. Mbona hatuoni miili ikizagaa hovyo mitaani? Mbona hatupukutiki kama njugu?
 
Ila wamezalisha mutation?
Kuzalisha mutation si hoja, hoja ni kuzalisha most mutated variant.

Unaelewa tofauti?

Usitake kulinganisha timu inayocheza mpira ligi ya mchangani na timu iliyoshinda World Cup.

Eti kwa sababu zote zinacheza mpira.

Utaonekana juha.
 
Back
Top Bottom