Brorey71
JF-Expert Member
- Apr 30, 2020
- 655
- 139
Sawa mkuu. Ngojea miaka zako 50 za kukua. Nina uhakika mataifa mengine yatakuwa yanasubiri Kiswahili chenu kikue.huna akili mzee.
Sawa mkuu. Ngojea miaka zako 50 za kukua. Nina uhakika mataifa mengine yatakuwa yanasubiri Kiswahili chenu kikue.huna akili mzee.
ndio sababu nikasema huna akili. embu taja kwa africa pekee tu kiswahili kinazungumzwa na watu wangapi???Sawa mkuu. Ngojea miaka zako 50 za kukua. Nina uhakika mataifa mengine yatakuwa yanasubiri Kiswahili chenu kikue.
Kukitumia si hoja, hoja ni jinsi inavyotumika. Mataifa yepi yanatumia Kiswahili kama lugha ya kufunzia masomo mengine? Mataifa yepi yanatumia Kiswahili kufunza physics kwa mfano?ndio sababu nikasema huna akili. embu taja kwa africa pekee tu kiswahili kinazungumzwa na watu wangapi???
au mataifa mangapi?? kabla hujapinga au ku doubt kuhusu jambo fulani hakikisha unalielewa sawa sawa.
haaya kalale.
wewe ndio unatumia nguvu kwa jambo lililo wazi.Kukitumia si hoja, hoja ni jinsi inavyotumika. Mataifa yepi yanatumia Kiswahili kama lugha ya kufunzia masomo mengine? Mataifa yepi yanatumia Kiswahili kufunza physics kwa mfano?
Nawe acha kujikaza bure
Kilatini. Wewe nyang'au sio kila kitu ni kiingereza, kalagabaho.Majina ya kemia na biologia sio kingereza...ni nini? ...
Ndo maana unakoona ni hapo kwenye pua lako tu. Huoni mbali.Kilatini. Wewe nyang'au sio kila kitu ni kiingereza, kalagabaho.
Wewe ni kilaza. Hunisumbui hata kidogo.Ndo maana unakoona ni hapo kwenye pua lako tu. Huoni mbali.
You want to re-invent the wheel. Good luck with that.
kichwa chake mwenyewe, kuwa makini ni kibovu mnoSource!?
nini maana ya kalabagalabagabagagalagalagalaglagalaglo 😹 😆😳🐒🙊🙊🙊Kilatini. Wewe nyang'au sio kila kitu ni kiingereza, kalagabaho.
Hujui Kikuyu?nini maana ya kalabagalabagabagagalagalagalaglagalaglo 😹 😆😳🐒🙊🙊🙊
Kwamba ndio nchi inayofatiliwa sana hadi google inaongoza kwa kutafuta record zakeMkuu what do you mean.?
Tunawafuatilia tujue kama njaa imeisha huko na umaskini .kama upo ...ili tuwape msaadaKwamba ndio nchi inayofatiliwa sana hadi google inaongoza kwa kutafuta record zake
Wamesahau malawi na zambia zilipopata ile dhuruba ya njaa baada ya kile kimbunga kenya ilifichwa
now hizo nchi tumewapa mahindi, kenya wamerudi kwenye nafasi yao