Mossad yatajwa kutibua shambulio dhidi ya Waisraeli katika nchi za Tanzania, Ghana na Senegal

View attachment 2005527Kina Sirro walitakiwa wachunguze balozi kama za Iran hapa nchini kwa kufadhili ugaidi badala ya kusumbuka na kina Mbowe,kesi za kubambikiwa
Na ww kiazi unaamini akina siro na wayahudi kila wanachokiongea, sasa siro ndie alimueka ndani mwenyekiti wako na ulivyo kiazi unataka achinguze balozi za Iran nchini? Akishazichunguza mafuta ya bei ya chini na misaada ya madawa ya bure mtatoa wapi ? Au mmezoea mkubali ndoa za jinsia moja ndio mpewe misaada ya ARV zabure ?
 
lijinga lingine hil hapa?? iv unazan huyo Mungu unae muabudu ndye wanaemuabudu?? dini imeletwa na mzungu ambaye si myahudi, na ilkuja kwa mateso zaid ya mamilion ya waafrika waliuawa ili wapokee dini, sasa huyo mshenzi mnaemuita Mungu wa neema anawezaje kuuwa watu kwa kulazmisha imani yake ieneee kinguvu? huyo ndye Mungu wa upendo? hiv waafrika mtaamka lini eny wapumbv na wavvu wa kusoma historia zenu...
Roho ya Giza ii ndani mwako, ni Maombi yangu Mungu wa Israel, Mungu Ibrahim, Isaka na Yakobo kupitia Kwa Kristo Yesu Bwana wetu asikupite kabla siku zako hazijaisha umjue na kumtumikia.
 
Hawafai hata kidogo . Mama samia acwape nafac. Hao walishapata laana, na inawatesa. kokote waendako all the time c wenye kujiamini ni kwamba ni wenye wasiwasi.

Lakini (Wayahudi) wanatawala dunia kwani wao ndo wataalam kule Russia, UK, Europe, Marekani mpaka kule Argentina!!! na wakati wa kiama mtu wao yaani kutoka uzao wao (Jesus/Isa) anakuja kufunga kazi!!!!
 
Mama samia hatathubutu kuwapa nafasi mashoga/magaidi kwenye ishu kama hizi.
Kwanza, Waisrael katika swala la ushoga wako msimamo mmoja na Waislamu. Kwa muda mrefu nimekuwa na msimamo kuwa Waisrael wanawanyima haki Wapalestina kama taifa, na ningependa siku moja Palestina ipate uhuru na irudishiwe ardhi yote ambayo imenyang'anywa. Lakini lazima niseme ukweli kuwa navunjwa moyo na nchi za Kiislamu/Kiiarabu. Nchi hizi zina uwezo wa kuisaidia Palestina, lakini nyingi zao zimekuwa "compromised" na nchi za Ulaya/USA. Matokeo yake zimeitekeleza Palestina. Nchi hizi zimeghubikwa na tofauti za kimadhehebu na Ulaya/USA zinatumia tofauti zao kuzifanya zichukiane. Hii ndiyo maana utaona kuna vita zisizokwisha huko Uarabuni.
 
Lakini (Wayahudi) wanatawala dunia kwani wao ndo wataalam kule Russia, UK, Europe, Marekani mpaka kule Argentina!!! na wakati wa kiama mtu wao yaani kutoka uzao wao (Jesus/Isa) anakuja kufunga kazi!!!!
Mkuu kumbe akina Putin ni wayahudi
 
Lakini (Wayahudi) wanatawala dunia kwani wao ndo wataalam kule Russia, UK, Europe, Marekani mpaka kule Argentina!!! na wakati wa kiama mtu wao yaani kutoka uzao wao (Jesus/Isa) anakuja kufunga kazi!!!!
Kwani Yesu si walimpa kichapo msalabani, mbona hawa na yesu ni vitu viwili tofauti, mnadanganya sana
 
Israel wanataka kuanzisha kampuni Tanzania.
Itarahisisha kufanya upelelezi kwenye issues kama hizi na kuchukua hatua wenyewe kushughulikia uharifu

Wakimwachia Kamanda Siro watakuja kujuta wapo busy na kesi za ugaidi

Hii miongoni mwa sababu za Israel kufungua kampuni
hao hawana haja ya kuja huku kinachotakiwa kufanywa ni kuwa tumia watanzania waliotoka JIKT tu!! wawape mbinu za kuwa binua hao waarabu koko!!! unajua Mzungu na maana kidogo kwa mweusi kuliko muarabu yaani mngejua wasivo wapenda?? mngeshangaa!

Nashangaa eti kuna weusi msikitini mpaka leo mweee
 
lijinga lingine hil hapa?? iv unazan huyo Mungu unae muabudu ndye wanaemuabudu?? dini imeletwa na mzungu ambaye si myahudi, na ilkuja kwa mateso zaid ya mamilion ya waafrika waliuawa ili wapokee dini, sasa huyo mshenzi mnaemuita Mungu wa neema anawezaje kuuwa watu kwa kulazmisha imani yake ieneee kinguvu? huyo ndye Mungu wa upendo? hiv waafrika mtaamka lini eny wapumbv na wavvu wa kusoma historia zenu...
Kiufup si uislam wala ukristu vyote ni taka taka , na mizimu ya babu zetu inatulaani sabau tumeitelekeza mizimu yetu na kuiabuku mizimu ya waarabu ma wazungu ya akina Mudi , Yesu , Maria , Ibrahimu , isaka na ismaili
 
lazima utakuwa muarabu tu weye..
Lkn km u mweusi tiii.....inafaa ufe kabisaaa uzikwe uoze usinuke.
Yaaani ubaya wooote ule tuliofanyiwa na waarabu miska mia saba wanatutesa mpaka leo hawatupendi ki viiile.unaona wa maana???muarabu si mtu yule.na dini zake izo...
Bora mzungu mara mia...black americans ni wengi kuliko waarabu walioko misri au sudani....waarabu wanastahili kichapo cha damu ajili ya madhambi yao tena wasitegemee amani....maana ile dhambi inawatafuna mpaka watubu...na wewe tubu uwe salama kenge wa bluuuuu...
 
lazima utakuwa muarabu tu weye..
Lkn km u mweusi tiii.....inafaa ufe kabisaaa uzikwe uoze usinuke.
Yaaani ubaya wooote ule tuliofanyiwa na waarabu miska mia saba wanatutesa mpaka leo hawatupendi ki viiile.unaona wa maana???muarabu si mtu yule.na dini zake izo...
Bora mzungu mara mia...black americans ni wengi kuliko waarabu walioko misri au sudani....waarabu wanastahili kichapo cha damu ajili ya madhambi yao tena wasitegemee amani....maana ile dhambi inawatafuna mpaka watubu...na wewe tubu uwe salama kenge wa bluuuuu...

Watu kama wewe hamwendelei kwa sababu ya chuki na roho mbaya.

Waarabu mnawachukia, uislamu mnaupiga vita 😁

Wakati wanamtesa babu yako je! wewe ulikuwepo ukashuhudia hayo mateso wakifanyiwa? Au ndiyo yale yale ya kuletewa story za kusadikika nanyi mkaamini 😁
 
Back
Top Bottom