Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Huwa nasikia raha sana nikiona mwanamke active kama wewe ambaye unapenda kuulisha ubongo wako vitu vigumu.

Hakika wanawake wote mngekuwa hivi maisha yangekuwa rahisi sana, maana tatizo la wanawake wenye hard disc ambayo imekuwa formatted na Shigongo understanding ni zero kabisa kwao.
umerusha jiwe gizani
 
Wewe kichwa boksi Ni hivi wanasayansi wa masuala ya kinyuklia Kutoka Syria, walikua wakisjirikiana na wanasayansi wa Korea kwenda kwenye vinu vya nyuklia vya Korea na walipolipuliwa wale wasyria ukumbuke kazi ile inafanyikia Korea na walifia kule hivyo maiti zao ikabidi zirudishwe nyumbani Syria kwa mazishi

Mimi naona bora hizi habari ziwe zinaletwa huku kwa kizungu chake vilevile. Maana kama zinatafsiriwa kwa kiswahili bado hazieleweki, Sasa kuna haja gani?
 
Watu wanaojipendekeza kwa Wazayuni ni tatizo sana maana kama mtu anakuwa tofauti na hadithi za hao mabwana zao wanatokwa na mapovu sana,mungu hawezi kumbariki muuaji,muwe mnatumia vizuri ile 1% vizuri
Kwahiyo kujipendekeza kwa waarabu ndio akili?

Unafahamu vizuri unyama wanaoufanya ISIS? Tena wanatumia jina la Allah na Qur'an kuchinja watu kama kuku?
 
Nimefikiria sn kuhusiana na usalama wa hili taifa letu nikaona hii Amani tuliyo nayo imetulevya kiasi sasa tunelewa hatujitambui na tunalala milango wazi Mali zetu za ndani hazina ulinzi tena.

Kilicho nisukuma kuandika Uzi huu ni tukio la juzi la kukamatwa kwa wahamiaji haramu 81 wakiwa porini wamejificha.
Wengine wakahusishwa na maiti za watu 6 waliotupwa ndani ya mto Ruvu hivyo idadi yao ikafikia jumla ya watu 87.
Nikaanza kujuuliza Kama idadi ya watu hao 87 wakiwa na uwezo wa kupambana kivita sawa na wale MAKOMANDOO wetu wa siku ile ya sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika tutapona kweli?

Ajabu waziri wa mambo ya ndani hadi Leo hii hajatoa kauli yoyote Kali ya kuwakemea Askari wake kwa uzembe huu . Polisi wengi wapo bize na kukusanya mapato ya barabarani na kutangaza faida waliyopata kila mwezi huku wakiacha mipaka yetu ikiwa wazi.
Tujiulize wanapitaje hawa watu humu barabarani kwa jinsi polisi walivyo kuwa wengi na vizuizi vyao?

Polisi badala afanye ukaguzi wa gari zima kwa samplerin utaona anaenda kunong,ona na dereva akipewa chake anaruhusu gari kuondoka kumbe roli zima limejaa Wasomali na Waethiopia badala ya mizigo.
Mara kwa Mara polisi tunasikia wameuwawa na kuporwa bunduki,, hii yote ni sababu ya kuacha kutekeleza majukumu ya Kazi yao wanafanya ya TRA.
Hivi hao watu Kama waliweza kuingia nchini kwa idadi Kubwa hivi wakiamua kuhujumu Maji yetu kwa sumu ,, ni watanzania wangapi watapoteza uhai wao.

Siamini hata kidogo hivi kweli mtandao huu wa kuvusha hawa wahamiaji haramu ni mkubwa kuliko ule wa madawa ya kulevya au kuzidi ule wa kuiba makontena pale bandarini ambayo yote imedhibitiwa sasa hv .

Mh. Mwigulu Nchemba hebu amka ndg yngu watumbue wewe kabla JPM hajakutumbua wewe.
 
Nimefikiria sn kuhusiana na usalama wa hili taifa letu nikaona hii Amani tuliyo nayo imetulevya kiasi sasa tunelewa hatujitambui na tunalala milango wazi Mali zetu za ndani hazina ulinzi tena.

Kilicho nisukuma kuandika Uzi huu ni tukio la juzi la kukamatwa kwa wahamiaji haramu 81 wakiwa porini wamejificha.
Wengine wakahusishwa na maiti za watu 6 waliotupwa ndani ya mto Ruvu hivyo idadi yao ikafikia jumla ya watu 87.
Nikaanza kujuuliza Kama idadi ya watu hao 87 wakiwa na uwezo wa kupambana kivita sawa na wale MAKOMANDOO wetu wa siku ile ya sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika tutapona kweli?

Ajabu waziri wa mambo ya ndani hadi Leo hii hajatoa kauli yoyote Kali ya kuwakemea Askari wake kwa uzembe huu . Polisi wengi wapo bize na kukusanya mapato ya barabarani na kutangaza faida waliyopata kila mwezi huku wakiacha mipaka yetu ikiwa wazi.
Tujiulize wanapitaje hawa watu humu barabarani kwa jinsi polisi walivyo kuwa wengi na vizuizi vyao?

Polisi badala afanye ukaguzi wa gari zima kwa samplerin utaona anaenda kunong,ona na dereva akipewa chake anaruhusu gari kuondoka kumbe roli zima limejaa Wasomali na Waethiopia badala ya mizigo.
Mara kwa Mara polisi tunasikia wameuwawa na kuporwa bunduki,, hii yote ni sababu ya kuacha kutekeleza majukumu ya Kazi yao wanafanya ya TRA.
Hivi hao watu Kama waliweza kuingia nchini kwa idadi Kubwa hivi wakiamua kuhujumu Maji yetu kwa sumu ,, ni watanzania wangapi watapoteza uhai wao.

Siamini hata kidogo hivi kweli mtandao huu wa kuvusha hawa wahamiaji haramu ni mkubwa kuliko ule wa madawa ya kulevya au kuzidi ule wa kuiba makontena pale bandarini ambayo yote imedhibitiwa sasa hv .

Mh. Mwigulu Nchemba hebu amka ndg yngu watumbue wewe kabla JPM hajakutumbua wewe.
Kabla hujawalaumu polisi walaumu kwanza wavunja matofali kazi yao ni kulinda mipaka,walikuwa wapi mpaka wahamiaji wakaingia?
 
Halafu Israel hawakuuziwa codes na Russia ili wasionekane kwenye radar za Syria bali walitumia SUTER ELECTRONIC WARFARE kuBlind Syria radars zisiweze ona F15 na F16.
 
Na hao wanasayansi hawakufia kwenye mlipuko wa train ile..ndio maana unaona miili yao iliwekwa kwwnye majeneza maalumu na hata wabebaji walivalia mavazi maalumu...hao wanasayansi walifia ndani ya jengo wakifanya utafiti wa nyuklia....hiyo train ililipuliwa ili iwe cover story ...
 
AND this is how the divine powers work the wonders. Na bahati mbaya kwa akili na macho haya ya nyama huwezi kuliona wala kulielewa hili la "DIVINE POWERS". Wengi wetu tuna andika na kuifuatilia hii story kama zile za vitabu vya Elvis na Willy Gamba wake na pia kama coded message intended to certain subject/s.

Wewe fanya mipango yako wee ila ujiandae kwa aibu. Eti syria wanaficha aibu baada ya kiwanda kurudishwa mavumbini.

Waarabu waliotia akili kuhusu Israel hawa sikiki tena kuleta fyokofyo. Kusema kweli walitakiwa wawe wamejifunza kitu tokea firauni ,majeshi yake na zana zao walipo mezwa na bahari iliyo jaa hasira enzi za Musa.

Nichomekee kidogo!!! Kuna tulio unganishwa na Israel kupitia Bwana Yesu, nime sema kuchomekea lakini.

Bado mpaka leo tuna mafirauni kuanzia watu mmoja mmoja mpaka mataifa.

Na washawasha!
 
Hizi story tu. Nmekaa israel miaka 7 nina watoto watatu .achana na story za chuki.

Usisahau pia Mossad hata wewe watakutoa kizazi siku ukikanyaga Israeli, kama wanavyowafanyia watu weusi wote wenye asili ya Afrika waishio Israeli, na Waisraeli wanatuchukia sisi watu weusi zaidi kuliko binadamu yoyote yule, hivyo usijidaganye ukiona wanapigana na Waarabu ukafikiri wewe wanakupenda, ukiwauliza Waisraeli wachague kati ya Msyria na Muafrika kama mimi na wewe watachagua Msyria, na ndiyo maana hakuna Mwarabu aliyetolewa kizazi Israeli lkn Waafrika wote wamedungwa sindano na Mosad!
 
hadithi ya kutunga hii sasa kama syria walikuwa wanatumia barua kuwasiliana ilikuwaje huyo mwanasayansi akawa na laptop......uongo mtupu
 
Kwani kuna si hata mimi nimeelezea pia wanachokifanya Mosad Dunia hii kwenye ujasi wao, kwamba wanawadunga sindano ya kuondoa kizazi Watu weusi kutoka wenye asili ya Ethiopia, hawataki kizazi cheusi kimee Israeli!
Wewe unataka ulazalie kwenye nchi za watu kama panya ili iweje?.Ka nchi kenyewe kadogo hata wao hakawatoshi.Sasa wewe na akili zako finyu za kiafrica za kuzaliana hovyo bila mpango wala future ukaijaze nchi ya watu ili iweje.Kama unataka kuzaa kama panya baki kwenu africa penye nafasi ya kuzaliana kama panya buku..Mnakimbia kwenu kwenda nchi za watu afu mnaenda kulialia kubaguliwa mara kupigwa sijui sindano za uzazi...Ujinga wenu wa kutojua ku control uzazi ndo unawasabalisha mlimwe sindano za uzazi nyambaafu..,Africa ni kuzuri sana na kuna fursa nyingi sana..Kma hutaki kubaguliwa baki afirica nyumbani...Ukipeleka pua yako israel,utabaguliwa tuu,the same applied to russia na nchi nyingine,hakuna sehemu salama kwa mwafrica kama africa..
 
Back
Top Bottom