Wauwaji wa albino hawatishi watu?ameongea ukweli!!mwandishi wa makala hii unafaa kuwa propagandist wa mossad kwa maana anajua sana kutisha watu
Hata mimi nimeshangaa kumbe jamaa alikua mzima tu sijui imekuwaje sasa hivi.Daaah..... Imetokea nakutana na huu uzi. Kumbe ulishawahi kuwa na akili zamani
Kumbe huwa wanakufa?Huyu anayeongelewa Mier Dagan ukitaka kujua shughuli yake nenda Google au u tube utakuta. ..ni kiongozi hatari sana wa mossad ila alifariki mwaka 2013 kama sijakosea ila jamaa alikuwa amebobea
Mabangi anayovuta itakuwa ndo issueHata mimi nimeshangaa kumbe jamaa alikua mzima tu sijui imekuwaje sasa hivi.
Alikufa Muhamad itakuwa MossadKumbe huwa wanakufa?
Hata Mimi mkuuHii mambo huburudisha sana ubongo wangu.